bajaj mpya ni kama m7 na laki 2 but hata kwa iyo hela unaweza ukapata used na ikakutoa maana matengenezo ya bajaj sio makubwa sana pia ukimpata na dereva mzur unatoka... mm kuna jamaa angu mmoja alianza na bajaj moja saiv ana bajaj 9 na zote zinaleta elf 20 kila siku, kama upo tayar tunaweza...
jaman naomba kujuzwa jinsi kulipia online ukiwa na mastercard je zile namba tatu ndo password au,, na je izo namba tatu ni laxima uzijaze?? na kuhusu sehemu ya tar na mwez najaza nn???
nijuzeni
Mimi kuna jamaa ndugu yangu nilimpa hela laki 4 anichongee kitanda kizur cha mninga maana nilikuwa nataka kufunga harus kwanza jamaa kaniambia nisimharakishe ana kaz nyingi atakuwa anatengeneza pole pole nikasema poa maana hata harus ilikuwa bado so nikamuacha kama mwez baadae akaniita...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.