Ahsante mkuu Zogwale.
Nimejaribu ku google.
Sababu kubwa nilizo zipata huko ni:
1/ Ulaji ulio pitiliza wa green vegetables.
Hili kwangu halipo,nakula kiasi kidogo tu cha mboga za majani na matunda kwenye mlo wangu.
2/Bowel Infection(Maambukizi kwenye njia ya chakula)
Hili wameelezea...
Wakuu heshima mbele.
Nime notice rangi ya kinyesi changu kuwa ya kijani kabisa kwa siku ya tatu sasa.
Sipati maumivu yoyote wakati wa kujisaidia,na wala sina maumivu yoyote ya tumbo.
Content ya green vegetables na matunda sijabadili,ni ya kawaida kama ninavyo tumia siku zote.
Naomba kujuzwa...
Wakuu,nimekuwa na tatizo la haja kubwa kutoka pale ambapo nimejisikia kukojoa na ninapo jaribu kukojoa.
Hii haijalishi nimejisaidia haja kubwa mara ngapi,nikienda haja ndogo tu,ninapo sukuma,na kiasi cha kinyesi kinatoka!
Naomba msaada:
1/Je,hii ni hali ya kawaida?
2/Inasababishwa na nini...
Mkuu Mrimi,simple like that,kuamua tu?
Nakuhakikishia nimetamani sana kuacha tabia hii chafu lakini nimeshindwa!
Tafadhali nipe hiyo namna ya kuacha please!
Mkuu Mrimi,simple like that,kuamua tu?
Nakuhakikishia nimetamani sana kuacha tabia hii chafu lakini nimeshindwa!
Tafadhali nipe hiyo namna ya kuacha please!
Habari wana Jf!
Mimi ni kijana wa miaka 23.
Nimekuwa na tabia ya kupiga punyeto toka nikiwa na miaka 12;ni tabia inayo nikera kwa kweli,lakini nimejitahidi kuacha,nashindwa.
Yaani,naweza kujizuia kwa wiki mbili au tatu,lakini baada ya hapo najikuta nimepiga tena!
Naombeni ushauri wa...
Mkuu gody,nimekupata vema.
Nimepost hapa kwa sababu kadhaa:
1/Kujua iwapo hii hali ya kukojoa kwa pressure ndogo kiasi hiki ni tatizo kitaalamu,kwani apart from that,sisikii maumivu yoyote.
2/Kujua toka kwa watu ambao wamewahi ku experience hali hii,ili kuwa na hakika kama hali hii ni ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.