Recent content by Elia shabani

  1. Elia shabani

    Mwanafunzi, weka swali linalokusumbua ili walimu na wazoefu wakusaidie

    Hi!! Nimehitimu kidato Cha nne nipata IV-26 ..Kam ifuatavyo Civic-C History-C Mathe-F Kisw-C Bios-D English-D Geogr-D ....hivi serikali inawez nichaguilia chuo au mbk ni apply mwenyewe.. Msaada
  2. Elia shabani

    Kwa matokeo haya, serikali inaweza kunichagulia chuo?

    Habarii! Msaada nimepata division 4 ya 26 Mwaka huu form 4...matokeo yako Nina C..tatu na D 3 na F..moj Civic-C History-C Geogr-D Mathe-f English-D Kisw-C Bios-D Hapo jamani serikali inawez nichaguilia chuo au mbk ni apply mwenyewe. Naombeni msaada wakubwa.
Back
Top Bottom