Kyakashombo
Senior Member
- Oct 13, 2018
- 150
- 232
Chemistry pia
Uliza ulikotoka ndo kuna shidaSorry naomba kuulizia wakuu nimehama campus ya CBE dar kuja mwanza alaf huku naambiwa kuwa usajil wangu Una shida haujakamilika natakiwa nifanye nini hapa naomba nisaidie asee sielew hapa
any 🥴Chemistry pia
Ni file gani au app ambayo ni mzur kusave nyaraka na ukiserch unayoitaji inatokea kwa kutumia computer.kama lile la (contacts nimber)
Hi!! Nimehitimu kidato Cha nne nipata IV-26 ..Kam ifuatavyo
The sum of four consecutive integers is -22. Find the integers.Wakuu katika kupitia nyuzi mbalimbali humu nimegundua hili jukwaa lina wanafunzi wengi sana hasa kidato cha 5 au chini ya hapo pia wanavyuo
Hivyo basi ni vyema walimu na watu wenye uzoefu tuwasaidie hawa watu ili wafanye vyema ktk masomo yao kwa wenye nia njema, jukwaa hili ni muhimu na tukilitumia tukainua ufaulu wa ndugu zetu tutaongeza Tanzania njema yenye wasomi bora.
karibuni, mimi tupia swali la linguistics/language 1&2 (kwa A-level) au english kwa O - level na Geography.
Walimu wazuri na Wataalam wengine watajitajitokeza ukirusha swali lolote.
we jinsia. Gan kwanHi!! Nimehitimu kidato Cha nne nipata IV-26 ..Kam ifuatavyo
Civic-C
History-C
Mathe-F
Kisw-C
Bios-D
English-D
Geogr-D
....hivi serikali inawez nichaguilia chuo au mbk ni apply mwenyewe.. Msaada
Kuna watu tu wanapenda kupindisha Mambo ila tu wasamehe tuu😁Wakuu kama tittle ya uzi inavyojieleza, uzi huu ni kwa ajili ya wanafunzi kuuliza maswali na kujibiwa lakini naona mmejisahau na kuanza kuingiza humu mambo mengine ambayo hayahusiani na masomo. Je, hii ni sawa?
a) (3/4) x (2/3) x (4/5)=Ndugu walimu tafadhali saidia mimi kutatua hizi hesabu:
View attachment 2090565
c) 1-b=a) (3/4) x (2/3) x (4/5)=
b) (1-3/4) x (1-2/3) x (1-4/5) =
Why did aficna still remain poor despites high technology advancement from outsider ..apart from most young men attain to higher college still the backwardness is high and confirm to be higher for some decade
shimba una nini umenifanya na mimi niangue kicheko
Lugha ilikuja na meli ile. Ishatushinda basi tushimba una nini umenifanya na mimi niangue kicheko
Yaani kwa uandishi huu ulitakiwa upate 0 kabisaHi!! Nimehitimu kidato Cha nne nipata IV-26 ..Kam ifuatavyo
Civic-C
History-C
Mathe-F
Kisw-C
Bios-D
English-D
Geogr-D
....hivi serikali inawez nichaguilia chuo au mbk ni apply mwenyewe.. Msaada