Aloo!hii itachochea vijana kuwajibika kwa kufanya kazi halali na kunufaika kwa kupata kipato kwa matumizi yao na kuchangia katika ulipaji kodi katika nchi yetu ya Tanzania hivyo kufanya ukuaji wa kiuchumi piya kwa kuongezeka kwa walipaji kodi...
Hongera sana sana Wazo la kuwa na sarafu moja Africa, litachochea ukuaji mkubwa wa kiuchumi kwa nchi nyingi masikini na kupunguza kwa kiasi kikubwa ufisadi ambao hufanywa na viongozi kadhaa katika serikali.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.