Recent content by Electronics Capital

  1. E

    JamiiForums Tanzania Mkopo 400,000/= unahitajika

    Habari!!! Mimi ni mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) mwaka wa kwanza. Niko katika hatua za usajili lakini nimepungukiwa laki 4 kukamilisha usajili. Mkopo kutoka bodi (HESLB) nimepata, ila kuingiziwa ni mpaka kukamilisha usajili (Itachukua kama wiki 3 toka kukamilisha usajili). Nahitaji...
Back
Top Bottom