Acha tabia mbaya ya kutaka kuwatafsiri vema watu , wakati kiuhalisia hawako hivyo. Kwa Nini unamsemea Gwajima? Kama yeye Yuko huko na hajasema hapafai, wewe ni nani unamsemea kuwa hapamfai. Don't put words in his mouth. Wewe siyo yeye. Msiwape watu picha za uzuri wakati huo uzuri siye hatuuoni
Kwa malezi niliyoyapata toka kwa wazazi wangu na makuzi mengine katika maisha, huwa Sina kawaida ya kudharau mtu. Na naomba chapisho langu lisionekane kuwa personal na Mzee wassira bali litazamwe kama jicho la ukweli wangu.
Malezi hayo pia yamenifanya kuwa mkweli na mtu ambaye naweza kuongea...
Kama unakumbuka alithibitisha kwamba hakuwa anagombea nafasi ya mwenyekiti awali , kwa sababu alichukua kabisa fomu ya kugombea umakamu mwenyekiti. Kwa hiyo alikuwa sahihi kusema hivyo.
Kubadilika kulikuja baada ya kuhisi mwenyekiti wao wakati huo, alikuwa na njama za kuwatosa na kuwatoa...
They are scientifically called, " populist leaders". They always blackmail as to attract and win the support of an ordinary people at the expense of superficially insubordinate the western world and colonialism as a whole, meanwhile plundering our wealthy and safeguarding their own interests...
Katika kutazama formation ya Chadema, Moja ya udhaifu mkubwa walionao ni kukosa uenezi hasa wa kazi zao za siasa.
Hii kurugenzi ilivyo, imekaa zaidi kitechnocrat badala ya kukaa kisiasa zaidi. Siasa na Imani ya chama ni bidhaa, hivyo lazima ifanyiwe ( umasoko) au ukipenda marketing.
Hiyo hasa...
Boniface Jacob au maarufu Bon Yai ni mmoja wa wanasiasa vijana wenye akili na ambao kimsingi wanajua siasa kutoka moyoni.
Kama unafahamu temperaments za watu, huyu bwana ni real ktk siasa zake na ana siasa za akili na ana akili kubwa ukipenda.
Shida ambayo nimepata hivi karibuni ni kumuona mtu...
Siasa ni muhimu kwa mtu kuijua maana it is mainly a general study.
Msomi unayemtaja hapa kama hajui siasa ni mjinga kwa maana ufahamu wake ni finyu na Hana life skills.
Usitetee ujinga kisomi, wasomi wasiojua siasa ni mbumbumbu wa maisha na hawana impact kwa jamii.
Kosa ni lipi hapo Sasa. Kama balozi wa nyumba Kumi, huwa anapatanisha mpaka ndoa,, sembuse kiongozi wa dini kusaidia wanasiasa wawili kupatana? Tena padre mwenyewe, na wajihi kama wa Dr Kitima?
Kushauliwa au kushauliana ni tendo la kawaida kabisa ambalo tunalifanya Kila wakati. Hivi kama...
Kuwa kiongozi mkuu wa chama Cha siasa ambacho ni active kama ilivyo Chadema, ni muhimu sana.
Ukiacha kufanya tu siasa za ndani, kujua upana wa mambo ya yanayoendelea kwenye ulimwengu mwingine ni mileage kwa chama hicho na nchi kwa ujumla.
Siasa ni universal pia, hivyo kama huna upana wa kuona...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.