kweli kabisa Machadema ndio yaliingia mikataba hii mibovu, machadema ndio yamekuwa yakisimamia rasilimali za nchi hii toka tupate uhuru, yamekuwa yakishirikiana na haya majitu ya nje kutuibia mali zetu, kweli kabisa adui wa kwanza ni haya machadema!!!1
Kwa nini spika anaicheza hii mixer ya the minerals kwa style ya kwaito akipitiliza mpaka steps za mpiga beats! nini kilichopo nyuma ya hili, ninapata mashaka sana na Mr Speaker!! Kwa nini amekuwa hivi, muda utatujulisha tu.
kwa uvivu wa kusoma kilichoandikwa kwenye hotuba ya Lisu, wachache watamuelewa Lisu.
Lisu ametoa mifano mbali mbali katika hotuba yake kukazia point zake kwa yatokanayo na BANGO KITITA.
hivi hivi hawakumuelewa kuhusu mikataba kwa uvivu wa kusoma. IQRAA!1
Hatukatai wala hatupingi mheshimiwa kujenga kwao, ila watu wa chato kwa mimi nilieishi pale miaka miwili. Ofisi kubwa ya TRA na AIR PORT sio kipaumbele kwa sasa, watu wa chato wanahitaji; MAJI, VYUMBA VYA MADARASA, na uboreshaji wa huduma za afya. Na labda kiwanda cha usindikaji samaki...
Vipi kama asingeipata nafasi ya juu, mimi nafikiri nafasi yeyote ya uongozi hasa ubunge, ni jukwaa zuri zaidi la kusema kama kuna ouvu wowote katika nchi yako, alikaa kimya kwa kuhofia nafasi yake ingepotea. Mwl Nyerere alipoteza kazi yake ya ualimu kwa sababu ya kutetea uhuru,. Lakini wanasiasa...
Kipindi kile hoja za mikata hii ilipo pigiwa kelele na wapinzani kuwa haifai, tungeungana hivi nadhani leo tusengekuwa tunajadili tena haya.
Tupo hapa kwa uzembe wa watu fulani walioufanya 1997.
Lakini leo tumesahau miruzi miingi ya kutafuta kick. Hakukuwa na uwazi mabwana wakubwa walipiga meza...
Ukweli mtupu msomi wa Tanzania tena wa level ya Phd lazima aweze kuiongea lugha ya kiingereza kwa ufasaha, ama sivyo alikuwa anakariri tu. SECONDARY amejifunza kiingereza miaka minne na KIINGEREZA ni somo la lazima, kidato cha tano na sita amefundishwa kwa kiingereza(miaka miwili), digrii ya...
Mzee mwanakijiji kilichofanyika jana ni double standard, ningeomba umshauri mkulu awarudishe kazini walimu wote waliotumia vyeti vya watu wengine kujiendeleza kielimu na baadae wakaajiriwa serikalini.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.