Waberoya
Platinum Member
- Aug 3, 2008
- 15,169
- 10,785
Mimi binasfi nashindwa kumuelewa huyu ndugu yangu.....mbunge au waziri anazuiaje mikataba mibovu inayoungwa mkono na mamia ya watu kutoka chama chake........!!!??
Nadhani alitoa hili bandiko akiwa katika hali isiyo ya kawaida....
kabisa mkuu