Recent content by Eja2

  1. E

    Dawa ya kuzuia kutapika kwa mjamzito

    Daha Mke e Wangu anatapika sana ila tangawizi bila sukari hataki kabisa kusikia hilo hata limao hataki anasema mabaya
  2. E

    Tuwasiliane kwa mahitaji ya bidhaa za michikichi

    Uko mkoa gani wew
  3. E

    AJIRA: Utengenezaji wa sabuni ya mche

    Dabuni inalipa Sana ndungu na mtaji wake no mafuta ya mawese au mise tuu huo ndo myaji caustic soda na sodium silcate kupata ni rahisi
  4. E

    Ufafanuzi kuhusu bei za vifaa vya kielectroniki Zanzibar pamoja na gharama za usafiri

    Kaka Mimi nipo singida Tanzania huku nimepeta somo zuri kweli
  5. E

    Mafuta ya mise au mbosa

    Jamani nombeni kujua mise ikikamuliwa mafuta kwa gunia Moja inatoa mafuta kiasi gani gunia la kilo 120
  6. E

    Tunauza Mafuta ya mawese na mise kwa bei nafuu

    Bado unauza mawese
  7. E

    Tunauza Mafuta ya mawese na mise kwa bei nafuu

    Bado unauza mawese
  8. E

    Nauza mafuta ya kupikia ya mawese

    Ndugu hayo mafuta ya mawese bado unauzaa
Back
Top Bottom