Ni dhahiri kabisa, mwaka huu ccm imefanya kosa kubwa kisiasa katika mchakato wa kumchagua mgombea wao wa uchaguzi nafasi ya uraisi. Malamiko mengi ya kwamba mchakato ulijawa na mizengwe mingi pamoja na kuwatarget watu fulani wasiweze kufika mbele kwenye kinyang'anyiro inaonyesha kudhohofika kwa...
Wema amepata kula tisini kula za maoni viti maalumu. Lowassa alipata wadhamini zaidi ya laki nane badala ya mia nne na hamsini. Nakukumbusha wewe uliyeweka huu uzi.
Ndugu nimefuatilia press conference ya ukawa ambapo lowassa ametangaza rasmi kujiunga na chadema. Nimeshangazwa na kauli za wenyeviti hasa Mwenyekiti wa NLD kwa kusema wanamkaribisha ukawa na akilee chadema vizuri. Mimi nilitegemea kwa sababu Lowassa ni mchanga chadema na hana ufahamu mkubwa wa...
Tulikuwa na maadui watatu, ujinga, maradhi na umaskini. Japokuwa wameongezeka wengine ufisadi na rushwa. Chama tawala wanamtumia adui ujinga kututawala.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.