Recent content by efet_2410

  1. E

    JamiiForums Tanzania KERO Nyamilangano: Kero kutoka kwa Polisi inayosababishwa na utumiaji wa mabomu ya machozi kwenye maeneo ya wazi

    Mimi ni mkazi wa Kata ya Nyamilangano, Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu, Mkoa wa Shinyanga. Ninaomba kuwasilisha malalamiko kuhusu matumizi ya mabomu ya machozi na Jeshi la Polisi katika maeneo ya wazi yanayotumiwa na wafanyabiashara na wananchi kukusanyika. Kwa mujibu wa hali tunayoishuhudia...
  2. E

    JamiiForums Tanzania Chuo cha TIA kimenipangia kampasi ya Mwanza kusoma kozi ambayo haipo

    Niliomba chuo(TIA) na kupata nafasi. Aidha nilipangiwa campus ya Mwanza. Nimefika kwa ajili ya Udahili naambiwa nimepangiwa chuo kimakosa, kozi hiyo haipo kwa hapa Mwanza natakiwa niende Dar es salaam au singida kwenye Branch zao zilizopo huko. Kwangu Mimi huu ni usumbufu wa hali ya juu kwani...
Back
Top Bottom