Niliomba chuo(TIA) na kupata nafasi. Aidha nilipangiwa campus ya Mwanza.
Nimefika kwa ajili ya Udahili naambiwa nimepangiwa chuo kimakosa, kozi hiyo haipo kwa hapa Mwanza natakiwa niende Dar es salaam au singida kwenye Branch zao zilizopo huko.
Kwangu Mimi huu ni usumbufu wa hali ya juu kwani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.