Recent content by efet_2410

  1. E

    Chuo cha TIA kimenipangia kampasi ya Mwanza kusoma kozi ambayo haipo

    Niliomba chuo(TIA) na kupata nafasi. Aidha nilipangiwa campus ya Mwanza. Nimefika kwa ajili ya Udahili naambiwa nimepangiwa chuo kimakosa, kozi hiyo haipo kwa hapa Mwanza natakiwa niende Dar es salaam au singida kwenye Branch zao zilizopo huko. Kwangu Mimi huu ni usumbufu wa hali ya juu kwani...
Back
Top Bottom