Ww subiri waliosoma uchumi wakuchambulie hiyo bajeti siyo hayo magazeti yanayofanya kazi kwa mihemko,,hujasomea uchumi na wala hujui chochote mtu anaanza kuponda bajeti au kusifia,,ukimuuliza umetumia vigezo gani kwenye uchambuzi wako huna. Unaandika kuponda bajeti au kuisifia lkn ukisoma...
Sababu wanafeli ndo maana hvyo kuwa favour bs wanawachukua hao wenye PCB au PCM ili kujaza nafasi lkn ECA wanafaulu wengi hvyo nafasi i akosekana kutokana na uwezo wa vyuo vyetu kuchukua wanafunzi
W
ww uliosoma PCB kuna uwezekano kama ungepewa paper ya history ungepata zero kwan kujieleza ukaeleweka ni jambo dogo?! Mtihani ni mtihan tu acha utoto unafikiri ukisoma hiyo HGL ndo utapata div 1
Kwahyo ww umekariri kuwa wakatu wote Zitto ni mtu asiye na nidhamu?! Na je ni nini kilimwondoa chadema kama siyo nidhamu maana alienda kinyume na taratibu za chama!
Una uhakika yote yanayopelekwa bu
Yna uhakika yote yanayopelekwa bungeni ni matakwa ya wananchi wote wa jimbo hilo?! Au ww huoni kuwa wanapeleka mambo yao binafsi hasa yanayohs
Kaka jaribu ku
Mkuu jaribu kufatilia heading na content ya mtoa mada.Kichwa cha habari anaonyesha waliofukuzwa lkn content inaonyesha ni general wala hawazungumzii waliofukuzwa tuacheni mihemko ya kisiasa!!
Jibu hoja siyo unaleta porojo hapa,,mtoa mada anasema inawezekana vp waziri asiwe na uwezo wa kuwawajibisha watendaji wake wa chini wakati yy mwenyewe Lisu anataka mawaziri wawajibishwe kwa makosa ya watendaji walio chini yake(waziri)!! Au ww hapo hujapaona?!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.