Recent content by Edwink

  1. E

    NEMC wamedhamiria kuua baishara ya baa na sanaa kwa ujumla. Baa itaendeshwa vipi bila muziki? Liquid Bar wamezuiwa kupiga muziki

    Tunaokaa karibu na hizo baa zinazopiga muziki kwa sauti ya juu Ndio tunajua kero yake
  2. E

    Hii issue ya TIGOPESA na CRDB ni mimi tu au?

    Jana nilituma pesa toka tigo pesa kwenda airtel money, hela ilikatwa kwenye account yangu lakini haikufika kwa mlengwa. . Baada ya kuongea na customer care walisema pesa itarudi ndani ya saa 24 na ilirudi leo asubuhi. Nikatuma tena leo hii ikawa kama ilivyokuwa jana, nikatoa taarifa customer...
  3. E

    Hawa Speedaf wa mizigo ya China wapo haraka Posta hamna kitu

    Jamaa wapo vizuri,mzigo unachukua muda mfupi kulinganisha na posta
Back
Top Bottom