Amka Tanzania, amka kutoka katika usingizi bandia. Kaeni macho, kuweni chonjo, sasa semeni kuibiwa basi.
Wametuibia sana, wametunyonya sana, wameigeuza Tanzania shamba la bibi. Wametajirika kwa rasilimali zetu.
Ndiyo wametajirika kwa madini yetu, wanyama wetu, malighafi kutoka katika mashamba...