Recent content by Edta

  1. E

    Msaada wa nafasi ya kazi

    Ni me.
  2. E

    Msaada wa nafasi ya kazi

    Mkuu unawexa kunisaidia kwa hiyo issue?
  3. E

    Ndugu yangu ana shahada ya Uhandisi Majengo na Barabara, anaomba kazi

    Mkuu shida iko wapiii? Kama uwezi nisaidia sio lazima ucomment.
  4. E

    Ndugu yangu ana shahada ya Uhandisi Majengo na Barabara, anaomba kazi

    Hajashindwa, ila ni namna ya kusaidiana mkuu.
  5. E

    Msaada wa nafasi ya kazi

    Simsingizii mkuu
  6. E

    Msaada wa nafasi ya kazi

    Naomba connection mkuu
  7. E

    Msaada wa nafasi ya kazi

    👏👏👏
  8. E

    Msaada wa nafasi ya kazi

    Nimekuelewa mkuu.. Uko wapi wewe?
  9. E

    Ndugu yangu ana shahada ya Uhandisi Majengo na Barabara, anaomba kazi

    Ameshaomba sanaa na anaambulia interview tu.
  10. E

    Ndugu yangu ana shahada ya Uhandisi Majengo na Barabara, anaomba kazi

    Habari zenu wakuu. Niko na ndugu yangu Ana degree ya Civil Engineering.. na anatafuta kazi.. Naomba msaada kwa anayeweza nisaidia. Natanguliza shukrani za dhati kabisaa
  11. E

    Msaada wa nafasi ya kazi

    Habari zenu wanajamvi? Nimekuja kwenu nikihitaji msaada wa kazi. Niko na ndugu yangu amesomea Civil Engineering. Ametafuta kazi bila mafanikio. Yuko vizuri sana Kichwani na kiutengaji. Natanguliza shukrani.
  12. E

    Wakuu natafuta kazi, nina Atec 2 inayotolewa na NBAA

    Ok, niko kwenye msuli hata hivyo..
Back
Top Bottom