Habari zenu wakuu.
Niko na ndugu yangu Ana degree ya Civil Engineering.. na anatafuta kazi..
Naomba msaada kwa anayeweza nisaidia.
Natanguliza shukrani za dhati kabisaa
Habari zenu wanajamvi?
Nimekuja kwenu nikihitaji msaada wa kazi. Niko na ndugu yangu amesomea Civil Engineering. Ametafuta kazi bila mafanikio. Yuko vizuri sana Kichwani na kiutengaji.
Natanguliza shukrani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.