Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AminaUsijali mkuu Mungu atakuonyesha njia.
Utumishi unaombaga? Na ya Gaming board umeomba boss.Habari za mchana.
Wakuu natafuta kazi, Nina Atec 2 inayotolewa na NBAA.. Niko na experience ya cashier ya miaka 4. Naishi Dodoma na namba yangu ni. 0652 248 966
Naombaga mkuu, yes niliomba ila naona kimyaaaa...Utumishi unaombaga? Na ya Gaming board umeomba boss.
Ulifatilia boss Ukiomba unaenda kwenye website ya ajira.go.tz matangazo huwa hapo na kuhusu gaming board bado maana toka ipite deadline mpaka leo hata week 2 bado.Naombaga mkuu, yes niliomba ila naona kimyaaaa...
Ngoja tuvute subra..Ulifatilia boss Ukiomba unaenda kwenye website ya ajira.go.tz matangazo huwa hapo na kuhusu gaming board bado maana toka ipite deadline mpaka leo hata week 2 bado.
Sikukatishi tamaa lakini jiendeleze.Ma cashier Sasa hivi kampuni nyingi kubwa na serikalini wana digriii.Habari za mchana.
Wakuu natafuta kazi, Nina Atec 2 inayotolewa na NBAA.. Niko na experience ya cashier ya miaka 4. Naishi Dodoma na namba yangu ni. 0652 248 966
Mbona Accounts Assistant wanatafutwa kila ukichao serikalinina degree pia ana cheo chake kulingana na uhitaji na Nature ya Taasisi ishu ndo hivo kuwa mvumilivu na kuwa updated kUja nafasu za Diploma na Degree tena degree huko ndo Ushindani mkubwa sana kushinda hata Diploma kwa serikalini mfano mdogo Matangazo ya Utumishi ukiangalia.Sikukatishi tamaa lakini jiendeleze.Ma cashier Sasa hivi kampuni nyingi kubwa na serikalini wana digriii.
Ooooo thanx, niko najiandaa na pepa ya mwezi wa 5, sooo msuli bado nakomaa nao... Ila natafuta angalau nipate lotion.Mbona Accounts Assistant wanatafutwa kila ukichao serikalinina degree pia ana cheo chake kulingana na uhitaji na Nature ya Taasisi ishu ndo hivo kuwa mvumilivu na kuwa updated kUja nafasu za Diploma na Degree tena degree huko ndo Ushindani mkubwa sana kushinda hata Diploma kwa serikalini mfano mdogo Matangazo ya Utumishi ukiangalia.
Kama anapesa si mbaya akajiendeleza pia.
Ok, niko kwenye msuli hata hivyo..Sikukatishi tamaa lakini jiendeleze.Ma cashier Sasa hivi kampuni nyingi kubwa na serikalini wana digriii.
Foundation mkuu isipokuwa unaweza kupata Excemption ya Masomo uoiyosoma kwenye Course yako kama tu ilikuwa inaendana na mambo ya Accounts kama Watu wa Banking na Finance au B.AMimi Nina degree ila sio ya a/c , naweza kuanza level gan mbaka kuipata cpa