Naomba mnisaidie,hivi tarehe ya kufungua chuo cha udom 31/10/2015,ndipo na wale waliochaguliwa diploma wanatakiwa kufika tarehe hiyohiyo au ni tarehe tofauti na ni tarehe ngapi?
habari zenu wakubwa,naomba kwa yule anayejua tarehe ya kuripoti UDOM kwa wale waliochaguliwa special diploma mwaka huu anijuze pamoja na vitu vya kwenda navyo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.