Recent content by Edogan

  1. E

    JamiiForums Tanzania Kardinali Rugambwa na Mwambukusi, mnajukumu la kuleta mrejesho toka Ikulu kwa watu wenu

    Tuone kama ameuweza mtihani wa hongo kama Lissu alivyouweza, maana kama moja ya Mawazili wa Umoja wa Ulaya alihongwa dhahabu na akausifia mwenendo wa uchaguzi huku akishutumiwa na wenzake, Kadinali Rugambwa ataushinda mtego huo?
  2. E

    JamiiForums Tanzania GE2025 Katiba ya ACT inatamka wazi sifa za mtu kugombea Urais kuwa awe anamwezi ndani ya chama Sasa sijui huwa hawasomi Katiba yao au ni uzembe tu

    Waaafrika kama waarabu, wanafiki sana wenzenu wana gomea uchaguzi nyinyi mnaingia mmeishia wapi?
  3. E

    JamiiForums Tanzania Hakimu ana njama na Serikali kwenye kesi ya Lissu?

    Ni mjinga au anataka kutufanya wafuatiliaji wa Kesi kua Wajinga? Ndilo swali nimejiuliza kwa siku kama tano zilizopita. Inawezekanaje kila Tundu Lissu anapotoa hoja zenye mashiko hatoi maamuzi palepale mpaka akaelekezwe, kwanini hajiamini? Amepewa au kuahidiwa nini? Nasasa alitueleza kua...
  4. E

    JamiiForums Tanzania GE2025 Heche: Rais Samia, anamuogopa Lissu, akosoa hatua ya kuzuia kesi kurushwa Live

    Kesi inatopicha ya jinsi gani Inch yetu tunaongozwa na watu ambao si wazalendo.
  5. E

    JamiiForums Tanzania Askari 15 wanasurika kifo baada ya gari walilopanda kugongana na fuso

    Kwani wamekufa wana CCM?
  6. E

    JamiiForums Tanzania Anaandika Askofu BENSON BAGONZA (PhD) uchuro wa taifa

    No reforms no election
  7. E

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Lissu imezua swali muhimu; Katika nchi hii, nini tunaweza kujivunia kuwa kipo vizuri?

    Kwasababu hizo zote hizo ambazo ni zamsingi kama ningekua mkuu wa majeshi kwa maslahi ya Taifa ningechukua Nchi.
  8. E

    JamiiForums Tanzania Mimi katika wanaoitwa Mitume wa zamani. Huyu ndo namkubali sana. Ni role model wangu kabisa

    Kwahiyo na wewe unafikiri kuja kuoa wanawake 700 na uwe na vizuria kedekede?
  9. E

    JamiiForums Tanzania RITA Tower Linapendezesha Jiji, lakini wapangaji wake ni kajambanani tu

    Kama wameweza kulipa gharama za upangaji wanahadhi ya kupanga, nikua ghalama ndio hupanga hadhi ya biashala, yani mfano ukitaka eneo fulani liwe la watu wenye hadhi unapandisha bei eneo lile kwamba kama maeneo mengine ni milioni 2, yale yenye hadhi unaweka yanakua makubwa halafu yanakua milion...
  10. E

    JamiiForums Tanzania Ajali Barabarani Chanzo Kikuu ni Polisi?

    Hii nchi bwana haiishiwi vituko yani nikama kila sekta pana watu wasiokua na weledi na fani wanazozitumikia yani. Pamoja nakua tunapokua shuleni na vyuoni tunakumbana na misemo nahau vitendawili methali na kadhalika lakini havitusaidii lolote. Kwamfano unaweza kushangazwa na Jeshi la Polisi...
  11. E

    JamiiForums Tanzania Nyie Jeshi la Polisi, Weledi ni kutanguliza Akili mbele sio Nguvu , Anayedaiwa Kujifanya OCS , ni wapi alisema yeye ni OCS kwenye hii Video?

    Hawata mfanya chochote huyo ni mwenyeji wa Igunga Mr Daudi Phamacist na mwanakwaya wa kwaya ya cristu mfarme ya kanisa katoliki hapo Igunga ambayo kwaya hiyo moja ya wanakwaya wake ni Mama yake mzazi wa Mbunge wa jimbo hilo Nicholas Ngassa.
Back
Top Bottom