Recent content by Edmund Mpandaloni

  1. Edmund Mpandaloni

    Naombeni msaada wenu kuhusu post za ualimu

    ASANTENI SANA WAKUU Mungu awabariki na azidi kuwa nanyi.
  2. Edmund Mpandaloni

    Naombeni msaada wenu kuhusu post za ualimu

    Nsumbazunya unajua ww n mwelewa lakini n mbxh nadhani umenielewa ila n jeuri yako tu hii ni typng error ila nmeeleweka na ndio maana najibiwa. BADILIKA MKUU
  3. Edmund Mpandaloni

    Naombeni msaada wenu kuhusu post za ualimu

    akhsante mkuu ila mm nmeona kwenye tovuti nyngne zikionyesha uwepo wa post za cheti kw wanafunzi tuliohitimu miaka ya nyuma tangu 2012 kurud nyuma na inaonyesha wanafunzi wengi wametokea huko kw wale wenye iv ya 26 na 27. mf blog ya makambakokwetu.
  4. Edmund Mpandaloni

    Naombeni msaada wenu kuhusu post za ualimu

    Niliomba nafasi ya kusoma mafumzo ya ualimu ngazi ya cheti, Naomba kwa mwenye majina aniangalizie jina langu tafadhari.
  5. Edmund Mpandaloni

    Naombeni msaada wenu juu ya nokia 210 rm-924

    Naombeni msaada wenu, mimi nilikua nnatumia NOKIA 210 RM-924 Lakini chakushangaza sasa nikiweka tu betri kuna maandishi yanajitokeza, yameandikwa (contact service) na ukiiwasha haiwaki. Je,nifanyeje na simu yenyewe ni mpya kabisaa nimeitumia siku mbili tu. Naombeni msaada wenu tafadhali Kwa...
  6. Edmund Mpandaloni

    Waliochaguliwa kujiunga na vyuo vya ualimu ngazi ya CHETI (Grade A) na STASHAHADA 2013/2014

    sekta gani hii yenye uongozi mbovu ucokidhi mahitaji ya watumiaji wake yaan hii wizara inakera jaman inaleta stress kila cku au ina laana hii? y haitujali? hv watumshi wake wanapokea mshahara kweli kila mwezi? kwa kazi ipi? tumechoka bwana kama vp waongee moja tuelewe co tunawekana matumbo...
  7. Edmund Mpandaloni

    Mafunzo ya ualimu

    jamani khabarini zenu.... hv kuna tetesi zozote kuhusu selection za ualimu ngazi ya cheti????
Back
Top Bottom