Hao viongozi wa fisiem na serekali yao ndo wameshindwa kuboresha hiyo miundombinu ya watu kutafuta pesa, ndio mana Tanzania ni moja kati ya nchi maskini sana duniani kwa kuangalia kipato cha wananchi wake....hata kama wamefanya lakini muda ya miaka 50 hauwiyani na kiwango cha maendeleo...
Asante kwa hizo taarifa, they are very useful. Hivi tunaweza kutumia hizi course ku gain credits kwa universities? mfano mimi nafanya PhD, natakiwa before graduation niwe nime earn 30 credit points kwa ku attend short courses related to my field, sasa hizi course zipo accredited kuweza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.