Humphrey Polepole ameeleza kuwa miradi ya maendeleo ya ujenzi nchini haitekelezwi kwa ufanisi unaostahili, hali halisi inadhihirisha tofauti kubwa kati ya kauli hiyo na ukweli wa mambo..Katika kipindi cha miaka michache iliyopita, Serikali ya Awamu ya Sita chini ya uongozi wa Rais Samia Suluhu...
POLEPOLE ameeleza kuwa miradi ya maendeleo ya ujenzi nchini haitekelezwi ipasavyo, ukweli wa mambo unaonesha kinyume chake.
Kwa mtazamo wa kitaifa, utekelezaji wa miradi mbalimbali unaendelea kwa kasi na umakini mkubwa.
Serikali inaendelea kuboresha miundombinu, sekta ya afya, elimu, nishati...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.