Recent content by eden kimario

  1. eden kimario

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    sisi chelsea tukiwa kumi bora tutafurahi tu tukutane msimu ujao
  2. eden kimario

    Idadi ya watu Duniani kufika bilion 8+ mwaka 2024 huku wanaume tukitarajiwa kuongoza

    hao me ni pamoja na mashoga au wao hesabu yao iko ukeni?
  3. eden kimario

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Hivi TT alikuwa na shida gani au huyu boss miluzi anataka tukose hata champions league?
  4. eden kimario

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Chelsea yetu mbona inaporomoka namna hii? Kama shida ni kocha aondolewe Mara moja
  5. eden kimario

    Adui wa mtu ni wa nyumbani mwake

    Neno dogo lakini lenye marefu na mapana yake. Hivi ni kweli kwamba unaweza ukawa na rafiki kumbe ana mipango ya Siri ya kukuangamiza kabisa! Na wewe huna hata taarifa na unaendelea kucheka nae tu? Je, ni kweli watu wenye upendo uliopitiliza wanaweza kuwa na mipango ya Siri ya kukuangamiza...
  6. eden kimario

    Bangi na dawa za kulevya zinawasaidia Nini vijana maeneo ya kazi?

    Olachuga BANGI sio nzuri, wanakoelekea ni kubaya, maana hata kazi wanafanya kwa kujisikia
  7. eden kimario

    Bangi na dawa za kulevya zinawasaidia Nini vijana maeneo ya kazi?

    BANGI imeshaanza kuwachanganya ni Jambo la muda tu
  8. eden kimario

    Bangi na dawa za kulevya zinawasaidia Nini vijana maeneo ya kazi?

    BANGI mbaya Sana inakuharibu taratibu taratibu kadiri unavyoendelea
  9. eden kimario

    Bangi na dawa za kulevya zinawasaidia Nini vijana maeneo ya kazi?

    Watu wastaarabu!!! Aisee Hii hii BANGI inayobadilisha watu kutoka kuheshimika mpaka kudharauliwa
  10. eden kimario

    Bangi na dawa za kulevya zinawasaidia Nini vijana maeneo ya kazi?

    Kwa hiyo watangazaji wake wengine ni wavuta BANGI na wanajua kabisa
  11. eden kimario

    Bangi na dawa za kulevya zinawasaidia Nini vijana maeneo ya kazi?

    [emoji2][emoji2][emoji2] hatari Sana hii
  12. eden kimario

    Bangi na dawa za kulevya zinawasaidia Nini vijana maeneo ya kazi?

    Kazi utafukuzwa pale utakapojiona bingwa kuliko wengine kisa BANGI
  13. eden kimario

    Bangi na dawa za kulevya zinawasaidia Nini vijana maeneo ya kazi?

    Ni watu wanaochukuliwa vipi katika jamii? Hapo ndio utajua BANGI mbaya
  14. eden kimario

    Bangi na dawa za kulevya zinawasaidia Nini vijana maeneo ya kazi?

    Aisee Hakuna utamu hapo zaidi ya kuharibika tu
Back
Top Bottom