sitaki sana kusema mengi kwako samia, kwa sababu najua pia kama ccm ingeamua kupiga kura kuchagua mgombea urais, ungeshindwa.
ila waliamua kuivunja katiba ili kukufanya kuwa mgombea pekee.
sasa onyo langu na la wengi katika ulimwengu wa kiroho wa Mungu, wewe na wenzako, msithubutu kufanya...
tunaposema nyota, tunamaanisha atoae kibali ambaye ni Mungu
na shetani nae hana kibali cha kumpa mtu wake ila ananyonya vya watu wa Mungu, ambao wameacha maombi ambayo ni silaha kuu ya ushindi kwa wapakwa mafuta, iwe ni waimbaji au wahubiri ambao wanajiona wamefika na wanasahau maombi kila siku.
kuna pande mbili duniani
ya Mungu na ya satani au shetani .
kila upande unataka kuharibu upande mwingine.
japokuwa aliyetutaka tuwe huru kuchagua upande ni Mungu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.