Habari wadau, mko poa? Naomba kujuzwa machache kuhusu chuo kikuu hulia cha Tanzania , nahitaji kujiunga na Undergraduate programme je mihula yake ipoje? Inaanza mwezi 11 Kama vyuo vingine vya Tz? Na ways of applications zipoje lazima zipitie TCU pale dirisha linapofunguliwa au unaweza ukaomba...
walimu wa hesabu mnatuonea, kazi ya mwalimu ni kumfundisha mwanafunzi kutunza yale ambayo amefundishwa ni jukumu la mwanafunzi kwa pamoja na halmashauri ya kichwa chake
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.