Recent content by Eddy the broker

  1. Eddy the broker

    Ipo siku CHADEMA itamkumbuka Mbowe but itakuwa very late

    mambo ya janja janja ndo mwisho wake tunaenda kua na chadema iliyosimama.. ambayo haitakubari kurubuniwa kijinga
  2. Eddy the broker

    Ipo siku CHADEMA itamkumbuka Mbowe but itakuwa very late

    kwanini ambao hampo chadema ndo wengi wenu mnamkubari mbowe?.. kuna agenda gani kati yenu
  3. Eddy the broker

    SoC04 Utawala bora, chanzo cha Tanzania tuitakayo kwa miaka 10 ijayo

    TANZANIA ilitajwa kuwa miongoni mwa nchi nzuri duniani na Bara la Afrika kwa ujumla, kwa mujibu wa utafiti uliochapishwa na tovuti ya money.co.uk kutokana uzuri wa asili wa Taifa hilo lenye vivutio vya aina yake(madini ya kipekee kama Tanzanite, Dhahabu, Almasi), vivutio vya utalii kama vile...
Back
Top Bottom