Recent content by econonist

  1. econonist

    JamiiForums Tanzania TBS: Tumewasilisha taarifa Sekretari EAC kuiomba Rwanda kutoa sababu za Kuzuia Vinywaji vya Tanzania

    Si mtafute soko jingine? Mnalazimishaje wanyarwanda wanywe pombe zenu feki?. Nyie kuyweni huko mkafanye madylisis.
  2. econonist

    JamiiForums Tanzania TBS: Tumewasilisha taarifa Sekretari EAC kuiomba Rwanda kutoa sababu za Kuzuia Vinywaji vya Tanzania

    Hayo mapombe bakini nayo huko Tanzania myanywe sio kuleta Rwanda
  3. econonist

    JamiiForums Tanzania TBS: Tumewasilisha taarifa Sekretari EAC kuiomba Rwanda kutoa sababu za Kuzuia Vinywaji vya Tanzania

    Tafuteni soko jingine. Wao wamepima wamegundua ni chini ya kiwango.
  4. econonist

    JamiiForums Tanzania TBS: Tumewasilisha taarifa Sekretari EAC kuiomba Rwanda kutoa sababu za Kuzuia Vinywaji vya Tanzania

    Achana na Kagame wewe. Kagame sio mnafiki anajali raia wake sio huku mnaua raia kisa wamekosea Njia ngorongoro.
  5. econonist

    JamiiForums Tanzania TBS: Tumewasilisha taarifa Sekretari EAC kuiomba Rwanda kutoa sababu za Kuzuia Vinywaji vya Tanzania

    Huwezi kupeleka bidhaa chini ya kiwango nchini Rwanda ikawaadhiri raia wa huko kiafya.
  6. econonist

    JamiiForums Tanzania Rwanda wamewafikisha Mahakamani walioruhusu pombe haramu, je Tz tunasubiri nini?

    Hata kama hajalazimishwa, ana haki ya kulindwa uhai wake.
  7. econonist

    JamiiForums Tanzania Mwaipopo kuruka hewani kuwakabili viongozi wa dini

    Hana huo uwezo
  8. econonist

    JamiiForums Tanzania TICD ARUSHA: Kafulila katika mhadhara maalum wa Umma

    Siwezi fuatlia uchawa.
  9. econonist

    JamiiForums Tanzania TICD ARUSHA: Kafulila katika mhadhara maalum wa Umma

    Shida mnafanya mambo kwa kuiwaza CHADEMA
  10. econonist

    JamiiForums Tanzania Jussa: Kuna watu wamejimilikisha ajenda ya mabadiliko wanataka tuwafuate

    Halafu ACT ni dhaifu sana kule Zanzibar. CUF ilikuwa na nguvu sana kuliko hii ACT ya mchongo.
  11. econonist

    JamiiForums Tanzania Jussa: Kuna watu wamejimilikisha ajenda ya mabadiliko wanataka tuwafuate

    Ni CUF sio ACT. ACT labda Sasa.
  12. econonist

    JamiiForums Tanzania Jussa: Kuna watu wamejimilikisha ajenda ya mabadiliko wanataka tuwafuate

    Huyu jamaa sio kabisa. Amesahau aliyofanyiwa.
  13. econonist

    JamiiForums Tanzania Jussa: Kuna watu wamejimilikisha ajenda ya mabadiliko wanataka tuwafuate

    Labda CUF, CHADEMA hajawahi kuwa na base Zanzibar
  14. econonist

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Lissu: Shahidi wa 18 akwamisha kesi yaahirishwa hadi Agosti 17, 2026

    Kwa ule ushahidi wa Jana lazima wakimbie. Shahidi alikubali Kila kitu cha Lissu.
Back
Top Bottom