Nani kakataa stendi isiwe Mbezi?. Stendi iwepo ila mabasi yaruhusiwe kuwa na stendi binafsi za kushushia abiria wa mbali. Kajifunzeni Mwanza wanavyofanya.
Mimi nakuambia waliobuni ubungo unaanza kuishambulia Mimi. Waliona ubungo ni meeting point nzuri ya mabasi. Kama unataka kawabishie hao. Ila hakuna justification ya kupeleka stendi Mbezi. Dar sio Mkuranga kwamba unapeleka nje ya mji ili mji ukue. Dar ilishakuwa na imejaa.
Shida mmezoea watu kuishi kwa ugumu. Kama basi linaanzia Kigamboni linapitia Mbezi shida ipo wapi?. Yani eneo la watu milioni tano unataka wawe na stendi Moja ya kupandia na kushuka ?. Tuwe serious
Waliobuni ubungo walisema ubungo ilikuwa katikati ya wilaya zote za Dar. Hiyo Magufuli ipo nje ya Dar, tukubali kukosolewa. Mkikosolewa mnadai kupingwa ndio shida yenu. Jiji la watu milioni tano unalazimisha stendi iwe Moja? Tuwe serious
Kwanini unalazimisha basi zote zipaki Mbezi?. Dar ni kubwa sana usijifungie sehemu Moja tu. Mbona Mwanza hawapigi kelele na karibia Kila basi Lina ofisi yake kuanzia Allys, Katarama, Chakany, Sama etc. Mwanza ni kubwa huwezi kulazimisha Kila basi liishie Nyegezi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.