Recent content by econonist

  1. econonist

    JamiiForums Tanzania Tunaunga mkono kwa kauli ya RC kurudisha mabasi yote katika stendi ya Magufuli Mbezi

    Ubungo ni meeting point nzuri sana kuliko Mbezi. Shida ipo hapo.
  2. econonist

    JamiiForums Tanzania Tunaunga mkono kwa kauli ya RC kurudisha mabasi yote katika stendi ya Magufuli Mbezi

    Nata ni stendi inauotambulika. Mwanza stendi ni tatu, Nyegezi, Nata na Nyamhongolo. Ila Mwanza wanautaratibu mzuri basi lazima liingie stendi.
  3. econonist

    JamiiForums Tanzania Tunaunga mkono kwa kauli ya RC kurudisha mabasi yote katika stendi ya Magufuli Mbezi

    Sidhani. Mfano wako ni irrelevant. Mabasi mengi ya Moshi Arusha yanapitia Mbezi.
  4. econonist

    JamiiForums Tanzania Tunaunga mkono kwa kauli ya RC kurudisha mabasi yote katika stendi ya Magufuli Mbezi

    Mimi naona kuktaza stendi binafsi ndio kurudi kwenye tatizo. Dar Ina watu milioni tano na wilaya Tano halafu stendi ni Moja Tena nje ya mji.
  5. econonist

    JamiiForums Tanzania Tunaunga mkono kwa kauli ya RC kurudisha mabasi yote katika stendi ya Magufuli Mbezi

    Nani kakataa stendi isiwe Mbezi?. Stendi iwepo ila mabasi yaruhusiwe kuwa na stendi binafsi za kushushia abiria wa mbali. Kajifunzeni Mwanza wanavyofanya.
  6. econonist

    JamiiForums Tanzania Tunaunga mkono kwa kauli ya RC kurudisha mabasi yote katika stendi ya Magufuli Mbezi

    Watu mnadharau sana. Leo Dar mnaiona ndogo.
  7. econonist

    JamiiForums Tanzania Tunaunga mkono kwa kauli ya RC kurudisha mabasi yote katika stendi ya Magufuli Mbezi

    Stendi binafsi zinasaidia sana abiria.
  8. econonist

    JamiiForums Tanzania Tunaunga mkono kwa kauli ya RC kurudisha mabasi yote katika stendi ya Magufuli Mbezi

    Mimi nakuambia waliobuni ubungo unaanza kuishambulia Mimi. Waliona ubungo ni meeting point nzuri ya mabasi. Kama unataka kawabishie hao. Ila hakuna justification ya kupeleka stendi Mbezi. Dar sio Mkuranga kwamba unapeleka nje ya mji ili mji ukue. Dar ilishakuwa na imejaa.
  9. econonist

    JamiiForums Tanzania Tunaunga mkono kwa kauli ya RC kurudisha mabasi yote katika stendi ya Magufuli Mbezi

    Nikusaidie. Zamani stendi zilikuwa tatu. Kisutu, kariakoo na Sio kisutu tu hata Kariakoor mabasi yalikuwa yanadhusha na kupakia.
  10. econonist

    JamiiForums Tanzania Tunaunga mkono kwa kauli ya RC kurudisha mabasi yote katika stendi ya Magufuli Mbezi

    Shida mmezoea watu kuishi kwa ugumu. Kama basi linaanzia Kigamboni linapitia Mbezi shida ipo wapi?. Yani eneo la watu milioni tano unataka wawe na stendi Moja ya kupandia na kushuka ?. Tuwe serious
  11. econonist

    JamiiForums Tanzania Tunaunga mkono kwa kauli ya RC kurudisha mabasi yote katika stendi ya Magufuli Mbezi

    Kila mtaa hauwezi kuwa na stendi. Ila tuangalie wepesi kwa abiria.
  12. econonist

    JamiiForums Tanzania Tunaunga mkono kwa kauli ya RC kurudisha mabasi yote katika stendi ya Magufuli Mbezi

    Waliobuni ubungo walisema ubungo ilikuwa katikati ya wilaya zote za Dar. Hiyo Magufuli ipo nje ya Dar, tukubali kukosolewa. Mkikosolewa mnadai kupingwa ndio shida yenu. Jiji la watu milioni tano unalazimisha stendi iwe Moja? Tuwe serious
  13. econonist

    JamiiForums Tanzania Tunaunga mkono kwa kauli ya RC kurudisha mabasi yote katika stendi ya Magufuli Mbezi

    Kwanini unalazimisha basi zote zipaki Mbezi?. Dar ni kubwa sana usijifungie sehemu Moja tu. Mbona Mwanza hawapigi kelele na karibia Kila basi Lina ofisi yake kuanzia Allys, Katarama, Chakany, Sama etc. Mwanza ni kubwa huwezi kulazimisha Kila basi liishie Nyegezi.
  14. econonist

    JamiiForums Tanzania Tunaunga mkono kwa kauli ya RC kurudisha mabasi yote katika stendi ya Magufuli Mbezi

    Mkuu mji umekuwa na watu ni wengi sana. Pia mabasi ni mengi sana kuliko miaka kumi iliyopita. Huwezi kulazimisha mipango ya miaka ya 80 iwepo Leo.
  15. econonist

    JamiiForums Tanzania Kati ya UKIMWI na Kisukari upi ugonjwa mbaya zaidi?

    Ukimwi ni GOAT. Sukari inatibika kwa Sasa.
Back
Top Bottom