Wewe ni muongo na hujui kitu.
1. Kwanza Besigye alikuwa Nairobi kwa ajili ya kuhudhuria sherehe ya kuzindua kitabu chake. Alikuwa na mwenzake Abeid Lutale.
2. Pili, Besigye hakukamatwa Bali alitekwa. Na mke wa Besigye anadai Besigye amegundua ametekwa na waganda baada ya kusikia wanaongea...
Acheni propaganda. Kafuatilieni ni nani aliyemkata Kizza. Mbona Maria Sarungi alitekwa Kenya? Kilichomuokoa ni kelele za raia ndio akatupwa, alikuwa naye anakuja bongo. Kizza alitekwa sio kukamatwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.