Recent content by econonist

  1. econonist

    JamiiForums Tanzania Hivi kweli, Kuna vikao vya bunge vinaendelea?

    Hakuna bunge Tanzania
  2. econonist

    JamiiForums Tanzania Morogoro: Zaidi ya Wanachama 113 wa CHAUMMA watimkia CUF. CHAUMMA imekwisha 🤣

    Matapeli tu hao. Unahama chaumma unaenda CUF iliyojifia.
  3. econonist

    JamiiForums Tanzania Kamati ya Kusukuma Maridhiano ya Kitaifa inawaomba CCT,TEC,BAKWATA waunde Kamati ya suluhu na uapatanisho ili kusaidia juhudi za Maridhiano nchini

    Odero, you are very stupid. A stupid idiot. That's all I can say.
  4. econonist

    JamiiForums Tanzania Serikali ya Tanzania chini ya Samia, imewakabidhi DRC Mwanaharakati Denise Dusauchoy ili akanyongwe. Ni mkosoaji wa Felix Tshisekedi

    Kipi cha ajabu. Kama Tanzania haiwezi kumlinda Makamu wake wa Rais itawezaje kumlinda mgeni.
  5. econonist

    JamiiForums Tanzania Serikali ya Tanzania chini ya Samia, imewakabidhi DRC Mwanaharakati Denise Dusauchoy ili akanyongwe. Ni mkosoaji wa Felix Tshisekedi

    Hakukamatwa Bali alitekwa. Kama issue ya Maria Sarungi alivyotekwa
  6. econonist

    JamiiForums Tanzania Serikali ya Tanzania chini ya Samia, imewakabidhi DRC Mwanaharakati Denise Dusauchoy ili akanyongwe. Ni mkosoaji wa Felix Tshisekedi

    Wewe ni muongo na hujui kitu. 1. Kwanza Besigye alikuwa Nairobi kwa ajili ya kuhudhuria sherehe ya kuzindua kitabu chake. Alikuwa na mwenzake Abeid Lutale. 2. Pili, Besigye hakukamatwa Bali alitekwa. Na mke wa Besigye anadai Besigye amegundua ametekwa na waganda baada ya kusikia wanaongea...
  7. econonist

    JamiiForums Tanzania Serikali ya Tanzania chini ya Samia, imewakabidhi DRC Mwanaharakati Denise Dusauchoy ili akanyongwe. Ni mkosoaji wa Felix Tshisekedi

    Acheni propaganda. Kafuatilieni ni nani aliyemkata Kizza. Mbona Maria Sarungi alitekwa Kenya? Kilichomuokoa ni kelele za raia ndio akatupwa, alikuwa naye anakuja bongo. Kizza alitekwa sio kukamatwa.
  8. econonist

    JamiiForums Tanzania Serikali ya Tanzania chini ya Samia, imewakabidhi DRC Mwanaharakati Denise Dusauchoy ili akanyongwe. Ni mkosoaji wa Felix Tshisekedi

    Sio Kenya, Uganda ilituma wanajeshi wake Hadi Kenya wakamuwekea mtego Kizza
  9. econonist

    JamiiForums Tanzania Serikali ya Tanzania chini ya Samia, imewakabidhi DRC Mwanaharakati Denise Dusauchoy ili akanyongwe. Ni mkosoaji wa Felix Tshisekedi

    Kubalini mlitandikwa . Siku nyingine msilete mazoea kwenye nchi yetu
  10. econonist

    JamiiForums Tanzania Serikali ya Tanzania chini ya Samia, imewakabidhi DRC Mwanaharakati Denise Dusauchoy ili akanyongwe. Ni mkosoaji wa Felix Tshisekedi

    Acha uongo akina besigye walitekwa na wanajeshi wa Uganda. Besigye mwenyewe alishangaa wanaongea kiganda.
  11. econonist

    JamiiForums Tanzania Serikali ya Tanzania chini ya Samia, imewakabidhi DRC Mwanaharakati Denise Dusauchoy ili akanyongwe. Ni mkosoaji wa Felix Tshisekedi

    Acha kufananisha Kenya na jehanamu ya Tanzania isiyomjali hata Makamu wake wa Rais.
  12. econonist

    JamiiForums Tanzania Serikali ya Tanzania chini ya Samia, imewakabidhi DRC Mwanaharakati Denise Dusauchoy ili akanyongwe. Ni mkosoaji wa Felix Tshisekedi

    Na M23 walitangaza kuichukua Goma wakiwa Nairobi.
  13. econonist

    JamiiForums Tanzania Serikali ya Tanzania chini ya Samia, imewakabidhi DRC Mwanaharakati Denise Dusauchoy ili akanyongwe. Ni mkosoaji wa Felix Tshisekedi

    Unaijua M23 au mnaropoka. Huyo ni mkosoaji wa kabila kama akina Mange. M23 walishawatandika mkakimbia. Tena mkapitia kwetu Rwanda.
  14. econonist

    JamiiForums Tanzania Huko FB wananchi wanafurahia kifo cha Kamishina wa polisi. Taifa limefikia pabaya sana.

    Majinga sana. Yaliuwa vijana wa Tanganyika yakidhani hayatakufa. Yafe tu mashetani hayo yasiyo na huruma . Very stupid idiots.
Back
Top Bottom