Recent content by econonist

  1. econonist

    JWTZ na Waziri Mkuu ingilieni kati huu utapeli

    Ndio shida inaanzia hapo
  2. econonist

    Shukuru Kawambwa kwenye Kashfa ya Udalali wa Viwanja

    Hiyo issue itampa credit Kawambwa kwenye uchaguzi ujao. Itaonekana anamtetea mwananchi wa kawaida
  3. econonist

    Paul Makonda amekutwa na nini? Kapoa ghafla!

    Shida ya Makonda ni ego
  4. econonist

    Rais Samia: Kero za Muungano 15 kati ya 18 zimeshatatuliwa

    Alinifurahisha siku ile anatoa taarifa ya msiba wa Mzee Mwinyi.
  5. econonist

    Jeshi la Polisi lapekua nyumba ya Boniface Jacob, laenda na GJ Malisa Moshi kupekua nyumba yake

    Kwa hivyo nani analipia hiyo safari ya Moshi. Kwanini polisi wa Moshi huko huko wasifanye upekuzi
  6. econonist

    Utafiti wa Mwananchi ni matokeo ya ombwe la utafiti halisi wa maoni ya wananchi

    Kwa ujinga wa huyu mama Bora fashisti Magufuli.
  7. econonist

    IMF yatoa orodha ya nchi 15 zenye uchumi mkubwa Afrika. Tanzania yashika namba 9 ikiwa na uchumi wa Dola Bilioni 80

    Kenya pekee ndio haipo kwenye LDC. Tanzania bado tupo kwenye LDC kaangalie UN statistics za 2024
  8. econonist

    Boniface Jackob afika kituo cha Polisi cha Oysterbay ili akamatwe kama alivyoagiza RPC

    Ila watanzania uchama umetupofusha Sana. Kisa Jacob watu wanaponda ukweli wa Jambo lenyewe, kwamba polisi wanahusika na kifo Cha huyo raia.
  9. econonist

    Wapinzani wana nia ya kuwagawa wananchi suala la Muungano

    Uwe unasoma na kujiridhisha kabla hujapost kitu. Huyo ni mbunge wa Zanzibar ACT Wazalendo ambao kwa Zanzibar wapo kwenye serikali ya mseto na CCM kwa hivyo sio wapinzani kwa Zanzibar.
Back
Top Bottom