Katika kabila la Khoikhoi huko Afrika ya Kusini mnamo mwaka 1789 alizaliwa mwanamke mmoja mwenye maumbile makubwa ya kuvutia kama unavyomuona katika picha.
Umbo lake liliwavutia sana wazungu na kufanya mwaka 1810 apelekwe uingereza ambako alitumika kuwa KIVUTIO cha watu kwenye maonesho ya...
[emoji117]Pichani anaitwa Martin Pistorious jina lake maarufu ni Ghost boy raia wa Africa kusini anaishi katika mji wa johanesburg.
[emoji116]Mnamo mwaka 1988 Martin ali ugua kwa ugonjwa wa T.B na Crypococcal meningitis
baada ya kupelekwa hospitali hali yake ili badilika ghafla na kupoteza...
Pichani ni kabila la Mumuila kutoka nchini Angola Kabila hili lina urembo wa aina yake na wa kipekee haswa.
Wanawake katika kabila hili husiliba nywele zao na aina fulani ya msago wa rangi nyekundu mithili ya samli mafuta haya wenyewe huyaita ‘Oncula’ Halafu huchanganya na mafuta mengine kutoka...
KUFANYA MAPENZI HADHARANI INA RUHUSIWA KATIKA JIJI LA AMSTERDAM katika nchi ya Uholanzi.
[emoji117]Ndio unaruhusiwa kufanya mapenzi hadharani ukiwa katika jiji la Amsterdam Nchini Uholanzi ISIPOKUWA ni kwenye maeneo maalumu tu nazo ni maeneo ya bustani.
Moja ya bustani maarufu nchini Uholanzi...
[emoji117]Ruby Bridges alizaliwa mnamo mwaka 1954 akiwa na umri wa miaka 6 alikuwa mtoto wa kwanza marekani mwenye asili ya Afrika alisoma katika shule mchanganyiko na wazungu.
[emoji117]Mtoto huyu aliteseka sana siku ya kwanza anaanza shule serikali kuu (federal government) nchini marekani...
TREE MAN (Binadamu mti)
Dede Koswara ni mzaliwa wa Indonesia ni binadamu aliyezaliwa na tatizo la ugonjwa unaosababishwa na fangasi unaojulikana kama Epidermodysplasia verruciformis.
[emoji117]Hali hii ilimfanya ajulikane zaidi kama "Binadamu mti" Tatizo hili huambatana na kukua kwa fangasi...
Ogaaah! Alkuwa pia akihimiza watu wafanye KAZI, aliwapa wakulima pembejeo za kilimo pamj na mashamba na alkuwa anapita na baskeli yake kukagua mashamba ya kila kijiji KWA namna hyo watu wengi walipambana na umaskini KWA vitendo na sio kuandaa andaa seminar za uongo na kweli na kujidai...
Ogaaah! Alkuwa pia akihimiza watu wafanye KAZI, aliwapa wakulima pembejeo za kilimo pamj na mashamba na alkuwa anapita na baskeli yake kukagua mashamba ya kila kijiji KWA namna hyo watu wengi walipambana na umaskini KWA vitendo na sio kuandaa andaa seminar za uongo na kweli na kujidai...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.