Yaani humu ndani kuna watu wako ukawa lakini hawajitambui,mi mwenyewe ni mwana ukawa but nampongeza sana pombe.amefanya vizuri.Mbona watu mnatoa comment za ajabu sana.hivyo vitanda alopoenda muhimbili alikuta wagonjwa wengi wamelala chini sasa ameamuru fedha ziende kununua vitanda lkn bado watu...
Mi naona huyo dada kafanya uamuzi wa busara baada ya kutambua ugumu wa ajira kwa sasa ameona unamkatalia asiende CCP ili aende chuo kingine then aje apate shida ya kutafuta ajira,CCP ukimaliza tu umesha ajiriwa.Brother dont panic muangalie kwanza suala la kuchukuliwa na wengine anaweza kulifanya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.