Mpango wa shetani huwa hausimami. Acha tuamini tunachoamini na waho waamini wanachokiamini. Mungu anajua yote, pia huna mamlaka ya kuhukumu mwingine maana hata biblia imesema msihukumu. Mungu hachunguziki. Asa so long as wanamwamini Mungu wa Ibrahim tunayemwamini tatizo ni nini?
Yeye hatukanini dini nyingine. Waislamu pia wanaomwamini Yesu ni mtumishi wa Mungu/mtume wa Mungu. Hivyo si shida kumuweka hapa. Tatizo wengi wetu tunaogopa uislamu na kuuwazia mabaya. Dini hiyo ni ibrahamic religion. Ni mpango wa Mungu kama ilivyo kwa uyahudi na ukristo. Hakuna awezaye...
Naomba nikiri kwamba mm ni mkristo mfla dini. Huwa nafatilia mafundisho yake. kifupi ni mafundisho mazuri na siyo ya kigaidi kama mnavyokiria. Mwacheni aje afundishe/ ahubiri imani yake.
Yes hata mtume aliuwawa na binti wa kiyahudi. Mtume alikuwa na kawaida ya kupenda wanawake na kuoaioa. Alioa wanawake zaidi ya 10. Alepoea binti wa kiyahudi yule binti alimwekea sumu mtume na kisha mtume akaugua then akafa. Kabla ya kufa alipomuuliza binti wa kiyahudi sababu ya kumuwekea sumu...
Ndiyo majira ya wapelesstina (wavamizi) kukaa pale Israel yameshatimia, wenye mji wanataka. mji wao, msikiti uondolewe na hekalui la Suleiman rijengwe,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.