Kwanza pole kwa tatizo hilo ila kitu muhimu cha kukusadia hapo ni kutengeneza mazingira ya kumsahau huyu mtu wako wa kwanza, pia husipende kutumia uzahifu wako kujilaishisha kwa wanaume kiasi hicho maana watakutumia tu na kukuacha tulia utapata mtu mwingine sahihi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.