Ahsante sana mkuu nimepambana sana kwenye hayo maduka sijapata msaada ndo maana nikaomba kama unakumbuka specific duka ulilobadilishia fedha hizo will be great cause its likely watakuwa wanazibadilisha pia
Wakuu, poleni na majukumu.
Naomba msaada wa taarifa. Nina fedha za Ivory Coast (CFA Francs) na kwa sasa nipo Dar es Salaam. Nimejaribu kuzunguka katika benki mbalimbali pamoja na Bureau de Change kadhaa lakini sijafanikiwa kupata sehemu inayobadilisha sarafu hiyo.
Naomba mwenye kufahamu benki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.