Recent content by DZEKO_10

  1. DZEKO_10

    Nachora picha ya penseli kwa bei poa sana

    Mchoraji wa picha kali za black and white pure art ilichorwa kwa mkono nichek 0712068462 isaack.artz
  2. DZEKO_10

    Nachora picha ya penseli kwa bei poa sana

    I think nimesom comments za wadau nimeona muamko wengi mmenitak niweke picha ok ngoja nipandishe picha boss
  3. DZEKO_10

    Nachora picha ya penseli kwa bei poa sana

    Haifutiki kuringan na penseli nayotumia na fixative spray kwa jili ya kun'garisha zaidi
  4. DZEKO_10

    Nachora picha ya penseli kwa bei poa sana

    Ukipendezwa view baadhi ya kazi ig yangu Login • Instagram
  5. DZEKO_10

    Natafuta kazi yoyote halali, mwenye connection anisaidie

    Wakuu kwa majina ni isaack umri 23, napatikana Dar (makongo juu), elimu nimehitimu degree ya arts and design 2024 (sijatunukiwa cheti bado). Kwa wakati huu nahitaji kazi yoyote halali, ya kulipwa kwa siku, wiki au mwezi wakuu. Mwenye nafasi tusaidiane hapo wakuu Isaack Mgeta. Makongo juu, Dar...
  6. DZEKO_10

    Nachora picha ya penseli kwa bei poa sana

    Isaack.artz mchoraji wa picha za penseli black and white, napatikana makongo juu,dar. Nafanyia kazi nyumbani. nAchora size ya A3,A2 na A1 karibuni 0712068462/0742083772
  7. DZEKO_10

    Jamani nisaidieni real story imenikuta leo hii sasa hisia zitaushinda mwili, maamuzi yatakua magumu mno

    Hello guys samahani mimi ni kijana miaka 23 nipo chuo mwaka wa pili UDSM, nilikua na mwanamke wangu ambae tumedumu kwa miaka takribani 7 sasa tangu form 2, mwaka jana nilimpatia ujauzito kwa mwanzo niliutumikia fresh japo tupo mbali me nipo dar ye yupo msoma, shida ni kwamba kuna mda life...
Back
Top Bottom