Recent content by Dyran

  1. D

    Mkurugenzi mkuu LATRA Habibu Suluo hizi namba zenu 0800 11 0019 na 0800 11 0020 hazina msaada, toa namba zako mwenyewe

    Mimi naona umeandika kwa hisia tuu na sio hoja, mambo ya uzanzibari na ubara yanahusikaje?? Halafu pili hizo Namba ukipiga unapata msaada moja kwa moja, mfano Mimi nilikuwa nasafiri from Mbeya to Sumbawanga nauli ilkuwa juu, nlivyowapigia tulikuwa hatujaanza safari bado so ilimchukua Afisa wa...
  2. D

    LATRA yakamata mabasi yanayochezea mifumo ya usalama Mkoani Arusha

    Mimi nawapongeza sana LATRA na Polisi, naona sasa Akili itawasogoea Hawa Jamaa, maana unakuta mtu anaendesha gari kama vile kapakia mahindi kumbe Ni watu... Hadi unawaza wanaonekana kweli?? Kumbe wamechezea king'amuzi🙌🏾🙌🏾
  3. D

    SoC01 Je, UKIMWI sio janga tena kama ilivyokua mwanzo?

    UKIMWI sio neno geni kwa watu wengi Tanzania. Watu wengi wameufahamu ugonjwa huu kutoka mashuleni, kwa ndugu au jamii kiujumla. Hali hii imefanya hofu juu ya ugonjwa wa UKIMWI kupungua kwa kiasi kikubwa ukilinganisha na miaka ya 1980 ambapo ugonjwa huu ndio ulikua unaingia nchini na watu hawakua...
Back
Top Bottom