Recent content by dyana

  1. D

    Natafuta mdada anaejitambua kwa ajili ya kuuza duka la nguo

    Nina uzoefu natafuta kazi sana, nina shida jamani naangamia binaadamu mwenzenu kwa yeyote atakaesoma tangazo langu naomba mnisaidie. Hata kama huna wewe lakini una ndugu yako au mtu unaemfahamu anatafuta mfanyakazi wa kwenye duka la nguo tafadhali nijuze kwa no hii 0719493982 JamiiForums kuna...
  2. D

    Natafuta mdada anaejitambua kwa ajili ya kuuza duka la nguo

    samahani ndugu yangumm nna shida natafuta kazi siku nyingi sijapata nataabika hiyo kazi naweza kuifanya nisaidie nipo dar. nitafute no.yangu 0719493982
  3. D

    ushauri

    nna mtaji wa laki nne naombeni ushauri wa biashara ya kufanya
  4. D

    Tunaombeni ushauri

    nahitaji kufungua biashara lakini mtaji nilionao ni laki nne tu sasa cjui nifungue biashara gani ndo itaaford mtaji nilionao wenye uzoefu anisaidie mawazo.
  5. D

    Natafuta kazi ya ualimu

    Natafuta ajira kwenye shule yoyote masomo yangu ni geography na kiswahili. elimu yangu ninadegree ya BAED. Ninauwezo wa kufundisha o-level na A-level kwenye masomo hayo Atakayenihitaji napatikana kwa no.0719493982
  6. D

    Nafasi za kazi

    nimesoma post yenu na nimeielewa nitafute kwa no hii whatsap tuelekezane zaid
Back
Top Bottom