Habari za Leo ndg, ningependa kujua vyuo vizuri vya afya vinavyotoa cozi ya clinical officer vilivyopo mikoa ya mwanza,Dodoma au dar, pia ningependa kujulishwa na ada zake.
Ndugu habarini za saizi? Hii inawahusu wale waliomaliza kidato cha nne mwaka jana, wakati tumemaliza mitihani kuna barua tulisomewa toka necta tukaambiwa kuwa matokeo yakitoka unaweza ingia kwenye tovuti hii www.tamisemi.go.tz na kutuma maombi ya kubadilishiwa combination kulingana na ufaulu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.