Recent content by Durdar

  1. Durdar

    JamiiForums Tanzania Haya yanayonitokea sielewi

    Ndugu yangu nenda kwenye vituo au onana na mtaalam ili ufanyiwe vipimo inaweza kiwa ni dalili ya ugonjwa fulan kwasababu hzo dalili zote unazozitaja zinaendana na za vidonda vya tumbo
  2. Durdar

    JamiiForums Tanzania Nikiongea na msichana majimaji hutokea kwenye uume

    Hilo sio tatzo lolote bro ni hali yakawaida lkn binadamu tunatofautiana yako ww imezidi lkn kwa ushaur ww jipotezee kwa kufanya mazoez, kusoma vitabu mbali mbali au kujiingiza kwenye michezo mbali mbali ujieke busy mda wote, naiman itakua msaada kwako
  3. Durdar

    JamiiForums Tanzania Kiswahili chenye lafudhi yenye mvuto

    Zanzibar kwa ujumla hakuna mpinzan huko ndo asili ya kiswahili chenyewe wengine wanakufuru tu
  4. Durdar

    JamiiForums Tanzania Nini maana ya neno 'tofya'?

    Habar wana wa JF, naomba kuuliza nini maana ya neno tovya!
Back
Top Bottom