IMEI NUMBER NI NINI?
IMEI ni kifupi cha " International Mobile Equipment Identity". Hii ni number ambayo inatumiwa kukitambua na kutofautisha
vifaa ambavyo vinatumia cellular network. Cellular network ni network ambayo unatumia kupiga simu au kuunganishwa na internet.
Kwa simu zenye sim card...
Kama wewe ni mtumiaji wa Instagram na hukijui kitu kinaitwa "TWO FACTORS AUNTHETICATION"
basi ni vizuri ukasoma hapa.
Ni kitu ambacho kiko wazi kwamba Instagram ni moja ya mitandao ya kijamii ambayo inakuwa kwa kasi sana.
Ukuaji huu umepelekea wadukuzi wengi kuweka nguvu zao huko kushambulia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.