Recent content by DUMU

  1. D

    Takwimu za hao mmoja mmoja mnaowateka kumbe zinakusanywa nilikuwa silijui hili limenishtua sana kuona kumbe orodha ni ndefu sana

    Wekeni majina ya watu waliouawa acheni propaganda. Mnataka rasilimali zetu wazichukue Marekani siyo endeleeni kuwapigia debe hao marekani maana nyinyi siyo raia wa Tanzania
  2. D

    Serikali isiyotokana na ridhaa ya wananchi ni hatari kwa Usalama wa Taifa

    Mimk nimepiga kura tena najisikia faraja sana kutimiza uzalendo wangu kama Mtanzania
  3. D

    Maaskofu nyinyi sio Mungu wetu, Ukweli usemwe mmepotoka tokeni hadharani ombeni msamaha!

    Utwkuwa sho****g wewe si bure komenti yako inakusoma hivyo
  4. D

    Maaskofu nyinyi sio Mungu wetu, Ukweli usemwe mmepotoka tokeni hadharani ombeni msamaha!

    Nyinyi vitoto vya 2000s hamjui dini wala hamna heshima tena heshima yenu ni ya kuungaunga na ya kufuata mkumbo
  5. D

    Rais ajaye afikirie kuunda Wizara kamili ya Usalama wa Taifa na si Idara moja tu ndogo ya Usalama wa Taifa

    Kuunda wizara ya usalama wa ataifa iambatane na mfumo wa chama kimoja kama ilivyo china na Rusia hapo itafanyakazi kwa ufanisi. Unapoongelea demokrasia ni vema ukalingamisha hilo jambo na nchi za kidemokrasia kama ilivyo marekani na baadhi ya nchi za ulaya ili hili jambo lilete mantiki kamili
  6. D

    Kwa CIA, usalama ni kwa ajili ya nchi. Si kwa ajili ya chama fulani

    Hata Raia wa Marekani hawana akili kama matope . Hata inapotokea Rais aliyeingia madarakani hafanyi matarajio ya wengi, Raia wa Marekani huwezi kuwasikia kuiombea nchi yao kutawalaiwa na wachina ama Warashia . Na hawawezi kuisifia nchi nyingine kisa rais wao hawampendi ila uje Tanzania wananchi...
  7. D

    Maaskofu nyinyi sio Mungu wetu, Ukweli usemwe mmepotoka tokeni hadharani ombeni msamaha!

    Zile ni hasira tu wameshatubu kwa kauli zao natumai Mungu atawasamehe Wawaombe watanzania
  8. D

    Maaskofu nyinyi sio Mungu wetu, Ukweli usemwe mmepotoka tokeni hadharani ombeni msamaha!

    Watumishi wa Mungu yupi hawa wanaotukuna kwenye mabahu takatifu ndo uwaite watumishi wa Mungu aliyehai ? Kwa hawa watumishi wanaotukana tena madhabahuni hawafai kuitwa watumishi wa Mungu tena laani za dunia hii ziwe juu yao
  9. D

    Maaskofu nyinyi sio Mungu wetu, Ukweli usemwe mmepotoka tokeni hadharani ombeni msamaha!

    Msamaha aombwe nani? Chadema na washirika wake waliohamasisha vurugu ama wale walioharibiwa malizao?.
  10. D

    Maaskofu nyinyi sio Mungu wetu, Ukweli usemwe mmepotoka tokeni hadharani ombeni msamaha!

    Ngoja tuwashitaki kwa papa hawa viongozi wanaotukana madhabahuni
  11. D

    Maaskofu nyinyi sio Mungu wetu, Ukweli usemwe mmepotoka tokeni hadharani ombeni msamaha!

    Nawezakuwa Mpumbavi siwezi kukuzidi wewe na hao wachungajibwenu wanaojiita wapakwa mafuta wauongo
  12. D

    Maaskofu nyinyi sio Mungu wetu, Ukweli usemwe mmepotoka tokeni hadharani ombeni msamaha!

    Na lazima tuwashitaki kwa papa hawa wachjngaji uchwara Lazima tuwashitaki kwanza hawa maaskafu uchwara
  13. D

    Maaskofu nyinyi sio Mungu wetu, Ukweli usemwe mmepotoka tokeni hadharani ombeni msamaha!

    Amani inaanza haki baadae. Hata yesu kabla hajapaa alisema anatuachia amani yake. Hajasema haki
Back
Top Bottom