Vipi ndugu, mbona umeshika Uhindiii mhindi....?? Kwani Uhindi wa Jussa unakushulisha kitu gani? au kuja jambo wahindi wamekutenda...? waogopa kulisema...??
Huwezi kuhubiri siasa ya ubaguzi namna hiyo, watu hipambana kwa nguvu ya hoja sio PUMBAZ...
Kwanza huu Uzi hauna sifa ya kuitwa #Waraka , ni maneno tu ya kuokota-okota mitaani, Amani Karume alikuwa Raisi wangu Zanzibar 2005-2010 mara tu baada ya kustaafu Uraisi mpaka kwenye Chama na kwasasa hana tena interest ya politics zenu, yupo na business zake kwa maisha yake, na hilo...
Mkuu umefilisika kabissa....!!
HUSSEIN BASHE ni mwanaume ndani ya vijana wa CCM, amesema hadharani woote tumemsikia wala sio mitandaonii,
URAIA:
hapo ndio umejivuruga kabissa, kwamba etii Bashe arudi kwao Somalia, hata kama iwe hivyo, muda woote huo hamjamuona?? ameanza siasa hadi amekubalika...
Huyu jamaa ni Mshenzi sana, na kila leo fitina na chuki zake dhidi ya Wazanzibar zinazidi kudhihirisha.... Kama wao kweli wanaogopa Wazanzibar wenye asili ya Oman, mbona wao kila leo huenda uko huko kila kukicha, na missada ya Qabuss hawaiyachi, sasa hapa ndio tu naona ile double standard ya...
propaganda za makufarii wa Tanzania sasaa zimefika mbaliii, hadi kuanza kutishiana amani ya nchii hali yakuwa wakijuaa fika kwamba nchii hii sio ya Waislamu pekeee, wao na familia zao pia wamoooo, hivyo hizo fitna zao nao pia zitawapata...
nadhanii hiii ni kwa sababu ya zile hamassa za Ujio wa...
Matatizo ya Wakenya ni yakwao na wenyewe ndio watao yatatua kwa umoja wao uliyojaa imani mioyoni mwao.....
lakini nakushangaa kutaja matatizo ya Wakenya kama kwamba huko kwenu Tanzania kupo shwariii....hakuna matatizo yoyote, ya kijamii hadi kisiasa... huo ni upofu!!
Mimi Binafsi na naamini...
Yeah I will inshallah....
kama unaamini Usilamu ni Ugaidii kwani huko kwenye hiyo lovely country yako Waisilamu hawapo....???
huko ni kuishiwa kwa hojaaa unaletaa dhana za udiniii, sisi Zanzibar hatujaliii kipigo chenuu ndio maana hadi leo hakijasaidi kituu misimamo iko pale palee....
Ni vyema...
Emmanuel R. Ntobi
huu ni ujinga na mawaunga mkono wakenya kwa asilimia 100% , zitto ajifanya yeye eti ni pan africanist kumbe hana lolotee uafricanist wake huonekana pale tu linapoluja swala la zanzibar na kuiangamiza kwake...... Ila issue ndogo tu ya wakenya ameshindwa uafricanism wake...
Sasa kwani wew ulitaka kirudi kwa nani...?? Zanzibar ikirudi kwa Warabu kwani inakuathiri niniii....si itakuwa ni rahisi kuja Kuomba misaada Zanzibar badala ya kuandaa vijisafari mpaka Oman Dubai hadi Qatar, kuwaombaa kisha mukirudi makwenu etii ohhh Warabu sio Watu hahahah shame on you...
Ni kweli balozi wa Sultani, lakini kaiwakioisha Zanzibar mali ya Wazanzibar hadi leo wanayo wenyewe licha ya njama nyingi za kutaka kuwapora kupitia Muungano hewa....
Na ukisema Balozi wa Sultani hujakosea kabisa maana kwa wakati huo ndio Mtawala wa Zanzibar, kama vile Tanganyika ilivyotawaliwa...
Naam, NDIO kwani WaOmani hawajatawala Zanzibar...?? kwanini wasijisifieee ..?? au ndio nawe unataka waletee majigambo ya uongo kweli kama kwenu huko Tanganyika munavyofanya..... maana Juzi tumemskia Mkuu wenu wa nchii asema etii Wajerumanii wamefanya meeeengii mema ya maendeleo, duhhhhh...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.