Sasa hao wenyekiti wa halmashali na mbunge wenu anakua wapi had I msaada uende sivyo kama ulivyo kusudiwa
Wakati umese huko kwenu ndio mnaoiogoza serikali,
Sijui sasa kwann kama rawama zako zinamlenga Rais Magufuli badala ya kuwaraumu viongozi wako kwa sababu hakuna kitu kinaweza kufanyika bila...
Nasikitika sana kusikia kiongozi mkubwa kama Zitto kua na mtazamo kama huo juu ya hutuba fupi ya JPM, kwani JPM hakumainisha hivyo maana yake alimainisha kila chama cha siasa kuweke juhudi kubwa kutimize kila kilicha ahidi kwa wananchi sio kulumbana kwa vitu ambavyo kimsingi havina umuhimu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.