Recent content by Ducinaltum

  1. D

    Msaada wa Apps za kuangalia game za England kwa ku-cast na TV

    Bundle ni gharama zaidi, japo inategemea unalipia kifurushi cha bei gani
  2. D

    Msaada wa Apps za kuangalia game za England kwa ku-cast na TV

    Barikiwa sana mkuu, ngoja niingie now
  3. D

    Msaada wa Apps za kuangalia game za England kwa ku-cast na TV

    Hello jf experts, salama humu? Samahani wakuu, naomba msaada wa Apps ambazo naweza kuchek game za England kwa ku Cast na Tv. Tv yangu ni Hisence..
  4. D

    Msaada wa Apps za kuangalia game za England kwa ku-cast na TV

    Hello jf experts, salama? msaada wenu tafadhali. Naomba kupata 'live epl game apps' ambazo naweza zina cast to tv. Tv nnayotumia ni Hisence, smart
  5. D

    Hivi kwanini hapa Tanzania matajiri au watu waliofanikiwa kimaisha hupenda kutuongopea kuwa wao wanafanya kazi kwa bidii?

    Juz kuna motivation speaker mmoja huwa anajinasibu anauza mchicha Ulaya, lakin amekamatwa na drugs. Ko hivo vitu wanavyotueleza ni urongo tu
  6. D

    Hivi kwanini hapa Tanzania matajiri au watu waliofanikiwa kimaisha hupenda kutuongopea kuwa wao wanafanya kazi kwa bidii?

    Hahah, bas kuna utofauti wa matajiri wa kwetu na wengine. Kiukweli mtu hawezi kutoa siri zake za ndani za mafanikio yake, instead atasema vitu cheap cheap tu. Hawawezi kutuambia siri halisi za mafanikio.
Back
Top Bottom