Recent content by duchi

  1. D

    Mrema kwisha, Mrema wa mwaka 95 siyo wa sasa labda, tazama mkutano wake

    Hii ndiyo mikutano yenye tija ya kuwafikia walengwa mojakwamoja kama afanyavyo komrede Kinana. Mrema kweli anaijua siasa.
  2. D

    Mbinga tumepigika inatosha sasa CCM kwaherini

    Wananchi wa Kijiji cha Mtunduwalo Mbinga huwambii kitu kuhusu CCM
  3. D

    Mbinga tumepigika inatosha sasa CCM kwaherini

    Mbunge wa Mbinga Mhe. Kayombo akikabidhi pikipiki 50 kwa waendesha bodaboda wa Mbinga
  4. D

    Mbinga tumepigika inatosha sasa CCM kwaherini

    Wananchi wa Kijiji cha Amani Makolo Mbinga wakiapa kiapo cha utii kwa CCM
  5. D

    Utafiti: CHADEMA ndicho chama kinachotajwa sana

    Hata Boko haram na Al shabab pia wanatajwa sana.
  6. D

    Hivi watanzania tunaweza kitu gani?

    Huo ni mwanzo. Hata kilimo unaanza kwa ajili kula nyumbani kisha unaongeza kwa ajili ya kuuza kwa wengine.
  7. D

    Hivi watanzania tunaweza kitu gani?

    Hizi ndizo sehemu kubwa ya barabara zetu hivi sasa.
  8. D

    Hivi watanzania tunaweza kitu gani?

    Hapa usifikiri ni London au S.Africa hii ni DAR ndugu.
  9. D

    Hivi watanzania tunaweza kitu gani?

    Watanzania watakuwa akienda kigamboni kwa miguu.
  10. D

    Hivi watanzania tunaweza kitu gani?

    Daraja hili la mto Malagarasi tumeweza pia.
  11. D

    Hivi watanzania tunaweza kitu gani?

    Hii gari imetengenezwa na kikosi JWTZ Nyumbu. Haya pia ni matunda yetu wenyewe.
  12. D

    Mkurugenzi wa Halmashauri na Mkuu wa Wilaya waifilisi Mbinga

    Ukiona hivyo Madiwani wana dili zao ila huyu dada DC ni mkali amewabana. Ndiyo majungu haya.
  13. D

    Mjadala: Wageni Rasmi Professor Benson Bana, Kinana, Wilbrod Slaa & Magdalena Sakaya

    Kwanza mmepewa upendeleo UKAWA wawili CCM mmoja.
  14. D

    UKAWA hamna hoja, nipo hapa kujibu hoja zenu

    Unadai concrete evidence? wakati FaizaFoxy Ukimsoma vizuri tayari ameshaonyesha kuwa UKAWA hawana hoja na amekuwa akipangua kila viroja mnavyoleta.
Back
Top Bottom