Recent content by DropTop

  1. DropTop

    JamiiForums Tanzania Nataka kununua Airtel 4G pocket Wi-fi

    Ushawai tumia au unatumia?
  2. DropTop

    JamiiForums Tanzania Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Ila ni uhakika kbsa ukijiunga icho “kifahari 50k” ni unlimited mana nliongea na mtoa huduama wa halo akanambia icho ni izo 24GB utaztumia mda wwte mpk siishe ndo unlimited yko zkiisha izo ndo kifrush kimeisha, akankatsha tamaa kbsa 24GB kwa 50k siwez iy biashara
  3. DropTop

    JamiiForums Tanzania Nataka kununua Airtel 4G pocket Wi-fi

    Brother naomb msaada kdg nataka kujiunga ich kifrush cha unlimited ila naona wameniandkia 24,6GB awajaandka unlimited kweny furaha, je ndo ichoicho unlimited alafu pia nmeskia kuna limit ya GB kma 24 iv zkiisha inakata
  4. DropTop

    JamiiForums Tanzania Nataka kununua Airtel 4G pocket Wi-fi

    Brother ile Halotel ni kwel unlimited mbn naskia kuna GB kama 24 zikiisha izo bc inakata
  5. DropTop

    JamiiForums Tanzania 🔥 Je, SSD Yako Ina Afya Nzuri? Hivi Ndio Namba Zinavyosema

    Brother nmenunua mmpya pc imewaka fresh2 ila ndo data zangu zmeenda
  6. DropTop

    JamiiForums Tanzania Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Ok jamani kwa anaejua anielekeze vzr nna line ya Halotel m2m natak nijiunge unlimited ile ya 50k ila kila nikienda kweny icho kifurushi cha furaha nakuta wameandika 50k-24,6GB apo kuna unlimited kwel au ndo izo GB 24 unapewa. Msaada please kwa mweny uelewa nnauhitaj
  7. DropTop

    JamiiForums Tanzania 🔥 Je, SSD Yako Ina Afya Nzuri? Hivi Ndio Namba Zinavyosema

    Ssd yangu zaman nlikuw nkiitoa nkiludsha fresh natumia pc kma ck 5 baad ya apo inanletea notifcation”Harddisc is not installed” ila kwa ile app ya crystal ya kuanglia health ya ssd inaonysh iko 100%, boss shd ni pc au iyo ssd ishkufag
  8. DropTop

    JamiiForums Tanzania 🔥 Je, SSD Yako Ina Afya Nzuri? Hivi Ndio Namba Zinavyosema

    Bro, mm nina pc ya Dell xps 13 9360, frequency inanleteaga blue screen inanambia ina diagnos problem then inanambia” Hard disc is not installed” afa sometimez nkiwash pc haiwak inalera ilo tangz then bdae inawak ila juz ndo majabu nikiwsha haiwak kbsa ata nkifngua nkitoa ssd nikudsh haiwak, shid...
  9. DropTop

    JamiiForums Tanzania Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    😅 unazngua mze
  10. DropTop

    JamiiForums Tanzania Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Kwaiy sisi wa mbagala vp ndo hatupo Daslam, cjawai ckia fiber wametimb uk
  11. DropTop

    JamiiForums Tanzania Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Ile router ya 4g, 99k mrejesho wa waloitumia haujaskia bro kma iko poa au inasumbua?
  12. DropTop

    JamiiForums Tanzania Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Kwamba ata ukimaliza izo 24gb kuitafta iyo 100speed ndo haifiki ata 1mbps au baada ga iyo 100
  13. DropTop

    JamiiForums Tanzania Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Process zake kupata inakuwaje bro?
  14. DropTop

    JamiiForums Tanzania Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Through partner wp yan unamaanisha?
  15. DropTop

    JamiiForums Tanzania Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Inakusumbua kivupi bro, nijuze mwenyew natak niingie halotel m2m
Back
Top Bottom