Huoni aibu kusifia ujinga, kwani wew huoni uozo wa ripiti ya CAG.huyo mchungaji katoa mawazo halisia kabisa kuwa viongozi ndo tatizo we unakuja na upumbavu wako kusifu sifu umekosa kazi za kufanya unakuwa kama shoga hivi
Hivi si kunatamko LA mahakama kupima watu kama ni mashoga au laa huyu aabgaliwe vizuri,huwezi mpa mtu sifa ambazo hata yeye tu kujisifu anaogopa.Alafu wew mwanaume punguza tabia za kitoto
hii kitu hivi ipo kisheria au maamuzi ya mtaa na mtaa maana imekaa kichoko choko sana haiwezekani polisi wapo alafu tunalipa watu wakuokota okota kuja kutulinda huu ni umaandazi mazafanta masisiemu
Hiyo habari yako umeandika stori ya kufikilika, kama yakufikilika sawa hutaki kuaminiwa, ila kama ndo ushuhuda wako alafu unakana kuwa hutaki kuaminiwa wew nawe ni mnafiki hujui hata dhamira yako yakuandika hiyo stori yako
Imani bwana,
Mwenzako zumaridi ana matatizo ya akili ila wew mzima yani unajiona wew upo sahihi sana kusema kwamba ulifika mbinguni ila zumaridi muongo alafu mbinguni ulienda ukaimba na kurudi tu.
Enh tueleze kidogo hao mliokuwa mnaimba pamoja na wametoka duniani au wenyew in Wakazi wa huko.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.