Kiongozi, nimeuliza kama huo nao ni sehemu ya utaratibu wa Malipo ya Serikali? Wala haukuwa na haja ya kuandika maelezo meengi, labda kama na wewe ni mnufaika wa mambo kama haya.
INTEGRITY! INTEGRITY! INTEGRITY BUDDY.
Ili kupata cheti cha kuzaliwa kupitia mfumo wa eRITA, unatakiwa kulipa Sh20,000, kisha kwenda RITA kuchukua cheti.
Wiki hii nilifika RITA Chalinze DC kuchukua cheti cha mtoto. Baada ya kuchapisha cheti, mhudumu alikifanyia lamination na kuniambia nilipie Sh1,000 kwa ajili ya huduma hiyo...
Kwa mtazamo wangu, hali hiyo inaweza kuwa imesahabishwa na mambo yafuatayo:
1. Ikiwa ni mpenzi wako tu, na wala sio mke/mume halali mliyeoana... Huenda atakuwa anaona aibu au anafikiria watu watamuonaje huko nje, yumkini anaogopa kuonekana anaishi na wewe wakati sio mume/mke halali - hata kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.