Recent content by drelly

  1. D

    Rais Magufuli atengua uteuzi wa Dr. Tulia, amteua kuwa mbunge

    Soma vizuri acha kukurupuka. Ametengua cheo cha naibu mwanasheria mkuu
  2. D

    Hatimaye Lowassa ashindwa kuhutubia Tunduma

    well said safi sana
  3. D

    Hongera Juma Duni: Vituo 8,500 vimepungua toka 72,000 hadi 63,500

    bongolala wewe. na nani hampigii kura? sema sipigi maana upeo wako mdogo
  4. D

    Wana CCM mliopo Arusha na Kilimanjaro semeni ukweli mikutano ya Magufuli

    wapuuzi sana dawa ya waongo na wazembe ni fupi. suala la umeme lina siasa ndani yake na inakera sana kukosa habari za mwenendo wa kampeni ili tufanye maamuzi stahik. CCM hawaaminiki wala hawauziki tena TENA. THEY MUST REST IN PIECES..
  5. D

    Wana CCM mliopo Arusha na Kilimanjaro semeni ukweli mikutano ya Magufuli

    mwehu wewe na wote wanaodhan watanzania bado ni mbumbumbu.. kalagabaho...
  6. D

    Mzee Kingunge N. Mwiru atangaza Rasmi kuachana na CCM

    mleta mada nadhani hoja yakoingekuwa ya msingi kama ungeeleza ni kanuni gani iliyovynjwa. nadhani tukiacha ushabiki tunaweza kuelewana. sote tunajua kamati ya maadili ya ccm ilipoka madaraka ya halmashauri kuu na hapo ndio kanuni ilipovunjwa sijui kama ulifuatilia mambo barabara
  7. D

    GE2015 Magufuli akutana na nguvu ya Umma Mbeya, azomewa, aambiwa wanamtaka Lowassa

    acha fikra potofu kudhani kila anayepiga ccm na mgombea wake wameandaliwa. kwahiyo mtu akikupinga amebutuga amani?halafu kwani watu wanaopaswa kwenda kwrnye mikutano ya kampeni ni wafuasi wa chama tu au bado ni upotofu uliopitiliza? i hope that mesaage is sent very loud and clear kwa mgombea...
  8. D

    GE2015 Magufuli akutana na nguvu ya Umma Mbeya, azomewa, aambiwa wanamtaka Lowassa

    huo ulioongea hapo ni utumbo.. kama ameenda kambi ya upinzani ulitaka wafanyeje. hiyo pia ni message kwake kukubaliana na hali halisi mimi sijaona kosa lao. wewe ni sawa na mgombea ubunge wa moshi na watu wake kupiga watu wanaoonyesha kuwa wako tofauti na yeye.
  9. D

    Mali alizochukua Mkapa na familia yake

    kama unataka nisikuite pumbavu hebu eleza Lowassa anahusika vipi na sakata la richmond na ufisadi anaohusishwa nao..
  10. D

    NEC: Watanzania wote watapiga kura popote walipo Tanzania ilimradi uwe na kadi (IMEKANUSHWA)

    umenena vyema ndugu kama tume itakua imeamua kufanya kama hoja ya mleta uzi ilivyo basi hawatakua na uwezo wa kutambua wizi wa kura kwani dhana ya kuandikisha watu kwenye eneo wanaloishi itakua haina maana na kwa hakika hilo ndo litakua goli la mkono..
  11. D

    UKAWA tulieni, mbinu watumiazo CCM hizi hapa

    si lazima atoe ushahidi we lofa.. kama dawa imeingia funga bakuli lako...
  12. D

    GE2015 Alichoandika Juma Mwapachu mara tu Sumaye alipotangaza kuhamia UKAWA

    watu wa type yako ni wengi. magufuli anategemea ilani hana maono binafsi ni sawa na bendera. hizo ajira walishasema wengi lakini si ajabu hata wewe ni jobless lakini bado unaendelea kushabikia ujinga.. we need transformative gov not just a clean person..
  13. D

    NEC: Fomu ya Urais iliyotolewa kwa ACT-Wazalendo lazima ijazwe na Kitila Mkumbo tu!

    uelewa wako ni mdogo kuliko unavyodhani. ester bulaya alikua mshindi wa tatu kwenye kura za maoni lakini chama kiliona anafaa kikamruhuru kuchukua fomu na mshindi wa kwanza alimpa support sasa wewe ulitakaje hapo. acheni kudandia gari kwa mbele...
Back
Top Bottom