Basi kwa maelezo hayo ya vipimo basi huenda ikawa ni loose stool tu kwani pia kama ni kuharisha lazima utaangalia ni mara ngapi kwa siku, kwa siku ngapi? Nature ya stool, Kama kuna blood in stool, au kama ana dalili za upungufu wa maji mwilini km yupo irritable, macho kuzama ndani kidogo,ukivuta...