Recent content by Dr.ty

  1. D

    JamiiForums Tanzania Ujue ugonjwa wa Mba na tiba yake

    ndugu wana jf, nimekua nikisumbuliwa na ugonjwa kwa muda mrefu. nimejaribu kuutibu lakini umekua ukipotea na kurudi baada ya muda. naombeni ushauri kuhusu dawa gani nitumie kuondokana na ugonjwa huu..
  2. D

    JamiiForums Tanzania Kikwete: Ipo misikiti mitatu jijini Dar-es-Salaam ilinisomea itikafu ili nife!

    mnasema malipo duniani- lah! Nakataa. Allah wenu hana lolote, sheria itamkata yoyote atakae ivunja-iwe mwenye roho safi au chafu. Waacheni wafanye kazi zao, pale watakapo kosa hekima sio juu yetu kuwa hukumu bali mamlaka ipitayo ya wanadamu itawashughulikia kwa wakati wake..
  3. D

    JamiiForums Tanzania Chunusi: Chanzo, tiba na jinsi ya kuepukana nazo

    Tafadhali fafanua umuhimu wa mkojo kwenye dawa hiyo. Ni kemikali gani zinazo ondoa chunusi zilizopo kwenye mkojo..hasa wa mtoto- kama ulivyo ainisha.
  4. D

    JamiiForums Tanzania Chunusi: Chanzo, tiba na jinsi ya kuepukana nazo

    Tafadhali fafanua umuhimu wa mkojo kwenye dawa hiyo. Ni kemikali gani zinazo ondoa chunusi zilizopo kwenye mkojo..hasa wa mtoto- kama ulivyo ainisha.
Back
Top Bottom