Recent content by Dr tupa

  1. Dr tupa

    JamiiForums Tanzania Mwenye ushahidi wa njama za kumuwekea sumu Lissu auweke hadharani na siyo kuichafua Serikali yetu kipindi hiki cha Kuelekea Uchaguzi Mkuu

    Kama walimpi Kama walimpiga risasi watashindwa kumwekea sumu..acha uchawa
  2. Dr tupa

    JamiiForums Tanzania David Kafulila: Ubora wa Treni ya SGR ya Tanzania unazidi treni nyingi za Ulaya

    Alie muita tumbili hakukosea
  3. Dr tupa

    JamiiForums Tanzania David Kafulila: Matumizi ya mbolea yameongezeka kwa 100% bajeti ya kilimo imeongezeka mara tano

    Huku kwao Uvinza mbolea haionekani wanalima kizamani labda anawadanganya wa Dar
  4. Dr tupa

    JamiiForums Tanzania David Kafulila: Ubora wa Treni ya SGR ya Tanzania unazidi treni nyingi za Ulaya

    Ni Kafilila huyu ni mjuae ..alinyang'anywa Ubunge akahongwaa cheo..ama kweli penye udhia penyeza rupiah
  5. Dr tupa

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Homa ya Uchaguzi yazidi Kupanda, Wabunge wajichanganya hata kwenye Maeneo ambayo waliyapuuza miaka yote

    Hivi kwenye kahawa wanakuja na ma V8 Yao au wanayaacha sehemu.
  6. Dr tupa

    JamiiForums Tanzania Hizi ni sababu za kwanini Askofu Gwajima anatakiwa kukamatwa na kufunguliwa mashitaka ya uchochezi

    Kwa nini tusimkata huyu jamaa na makala zake humu Jf
  7. Dr tupa

    JamiiForums Tanzania Nini kimeifanya Rwanda ipunguze kupitishia mizigo Tanzania na kugeukia Kenya?

    Mimi pia nimeahuhudia mizigo ya mheshimiwa Mbunge ikishukia Mombasa kuja Kigoma hebu watwambie ukweli..
  8. Dr tupa

    JamiiForums Tanzania Anga la Tanzania ya Samia linazidi kufunguka. Bado mikoa 7 tu kupata Uwanja wa Kisasa wa Ndege

    Tanzania Kuna viwanja 2 tu vya ndege vya Kimataifa na kisiwani kiwanja 1 sasa hivyo unanavyosema wewe ni vya kutua ungo au...
  9. Dr tupa

    JamiiForums Tanzania LGE2024 Mchengerwa kajaza Uwanja Mafia Lakini Tundu Lissu pale Mwembeyanga hata Robo ya Uwanja hapati, Chadema tumieni Mbinu za kisayansi!

    Enyi wagalatia mmekosa akili hivi...sawa hata wao wataanza kutembea na kina Zuchu na Mond
  10. Dr tupa

    JamiiForums Tanzania Wakosoaji wa Sanamu ya Mwalimu Nyerere washukiwa kama mwewe na kupewa onyo

    Tatizo aliepeea kazi yahiyo. Sanamu hamjui Nyerere...Mimi sikumwona ameshika bakora...!
  11. Dr tupa

    JamiiForums Tanzania Anga la Tanzania ya Samia linazidi kufunguka. Bado mikoa 7 tu kupata Uwanja wa Kisasa wa Ndege

    Unakuja maana ya kiwanja Cha ndege au Bangi zimekutuma upambe...Kwa taarifa yako hata uwanja wa ndege wa Mwanza sio wa kimataifa.!
  12. Dr tupa

    JamiiForums Tanzania Ni wakati wa Daraja la Kigamboni kupitika bure, bila kulipia

    Wapite bure kwani ni la serikali...pale wamewekeza watu
  13. Dr tupa

    JamiiForums Tanzania Bunge la Dkt. Tulia lenye Paul Makonda na David Kafulila ndani yake litawaka moto na kuteka mioyo ya watanzania hapo mwakani

    Mbowe hujajiweka ndani..na wewe ukiwa mbunge ndani..
Back
Top Bottom