Recent content by Dr Top Manyota

  1. Dr Top Manyota

    Nini cha kufanya kwanza unapoumwa na nyoka, ili kuokoa maisha?

    Cha kufanya cha kwanza ni kufanya huduma ya kwanza ambayo kama upo peke yako Ni vema kumtambua nyoka maana sinkila nyoka ana sumu ya kuangamiza Kama hukumuona usihangaike kumtafuta Bali weka mguu wako chini ili sumu isipande kwa kasi omba msaa da haraka sana Kufunga ni sahihi japo...
  2. Dr Top Manyota

    SI KWELI Kuna nyoka anawika kama jogoo

    Ndiyo yupo na niliwahi kukutana naye anakaa juu ya mti ni jamii tofauti hii ya nyoka wanapatikana mapori ya hifadhi karibu na mito ya Kitibitibi kijiji cha zeze wilaya kasulu mkoa wa Kigoma wana rangi ya kahawia na huwika mara nyingi wakiwa wanajibana katikati ya mti kuvua gamba lao
  3. Dr Top Manyota

    KWELI Kati ya picha hizi moja imetengenezwa kwa AI na nyingine ni halisi

    Hakuna uoto wa asili uliozunguka maji yakiwemo majani nk. Pia hakuna mifugo watu na ukiangalia huo msitu umefanywa mziti sana
  4. Dr Top Manyota

    KWELI Kati ya picha hizi moja imetengenezwa kwa AI na nyingine ni halisi

    Picha ya kwanza imetengenezwa na haina uhalisia. Imeondoa vitu vingi tunavyotegemea kuviona kwenye eneo la maji na imeboreshwa zaidi
  5. Dr Top Manyota

    Ajira mpya za Madakitari nje nje

    Wizara ya Afya imetoa majina ya Madakitari daraja la pili walio ajiriwa wapya
Back
Top Bottom